JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
DadaHalafu utamskia pimbi mmoja anasema tz kuna amani sana
kuwa na nidhamuDada
Karibu drc na Somalia, au hata Rwanda tu
Kuna amani sana
Na Mzee kibao ilikuwa episode ya ngapi?Yule dada wa chadema aliyepakizwa kwenye boda boda huku kazimia picha zake zinafanana na hizi tuzipe jina first blood na second blood upinzani ukiwawezesha wanaweza mama wape eneo huko bagamoyo filamu zao zitauza zaidi ya royal tour!
Hii hali haikubaliki kabisa.hii si tena Tanzania tunayoijua ya akina nyerere na mkapa.hii nchi imekamatwa na mashetani wachache ambao wakoo juu ya sheriaTaarifa ya Chama cha ACT Wazalendo imeeleza "Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Aghakhan, Dar es Salaam kutokana na kuumizwa kwa kipigo na watu waliomteka."
Pia soma
~ Taarifa ya kutekwa kwa Abdul Nondo kutoka ACT Wazalendo
~ Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo
cha Mabasi cha Magufuli
Au basi Kenya tu hapo, Mozambique pia si mbaya, sauzi or Angola may helpkuwa na nidhamu
DRC, Somalia na Rwanda zimekukosea nini?Dada
Karibu drc na Somalia, au hata Rwanda tu
Kuna amani sana
Wauaji hamna aibu, kwa vile DRC hakuna amani basi ni halali pia Somalia kutokuwa na amani?Dada
Karibu drc na Somalia, au hata Rwanda tu
Kuna amani sana