Yanikute mimi na muda wa kubwabwaja huko mitaani vijana badala ya kupiga kazi wanjifanya wanaharakati wana uchungu sana na nchi hii. wapumbavu tungoja na ww ck yakukute afu tuone km utaongea upuuzi wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanikute mimi na muda wa kubwabwaja huko mitaani vijana badala ya kupiga kazi wanjifanya wanaharakati wana uchungu sana na nchi hii. wapumbavu tungoja na ww ck yakukute afu tuone km utaongea upuuzi wako
Kuna watu wachache kwa roho zao za ajabu walisema hawataamini mpaka waone picha.Taarifa ya Chama cha ACT Wazalendo imeeleza "Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Aghakhan, Dar es Salaam kutokana na kuumizwa kwa kipigo na watu waliomteka."
Pia soma
~ Taarifa ya kutekwa kwa Abdul Nondo kutoka ACT Wazalendo
~ Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo
cha Mabasi cha Magufuli
Hata wewe ni binadamu na umo humu humu katka nchi yenye hayo matukiongoja na ww ck yakukute afu tuone km utaongea upuuzi wako
Watu wanadhuriwa ww unaleta aya za kikobaz hapa.Surah Ibrahim (14:42):
"Wala usidhani kwamba Mwenyezi Mungu ameghafilika na wanayoyatenda madhalimu. Yeye anawaakhirisha tu mpaka siku ambayo macho yatakodoka."
Aya hii inaonyesha kwamba Mwenyezi Mungu anawaachia madhalimu kwa muda tu, lakini siku ya mwisho watapata malipo yao kwa dhuluma walizofanya.
2. Surah Al-Anbiya (21:47):
"Na tutapiga mizani zilizo sahihi Siku ya Kiyama. Basi haitadhulumiwa nafsi yoyote kwa lolote. Na hata ikiwa ni uzito wa chembe ya haradali tutakileta. Na inatosha kwamba Sisi ni waweka hisabu."
Aya hii inathibitisha kwamba hakuna dhuluma hata ndogo itakayopitilizwa; kila jambo litahesabiwa kwa haki kabisa
CC Pascal Mayalla na Kadhi Mkuu 1Taarifa ya Chama cha ACT Wazalendo imeeleza "Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Aghakhan, Dar es Salaam kutokana na kuumizwa kwa kipigo na watu waliomteka."
Pia soma
~ Taarifa ya kutekwa kwa Abdul Nondo kutoka ACT Wazalendo
~ Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo
cha Mabasi cha Magufuli
Aisee😳😳😳Taarifa ya Chama cha ACT Wazalendo imeeleza "Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Aghakhan, Dar es Salaam kutokana na kuumizwa kwa kipigo na watu waliomteka."
Pia soma
~ Taarifa ya kutekwa kwa Abdul Nondo kutoka ACT Wazalendo
~ Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo
cha Mabasi cha Magufuli
Bado kuna wale wengine wanaosema eti amejiteka!!! Serious!!!Halafu utamskia pimbi mmoja anasema Tanzania kuna amani sana
,,,UnasemajYule dada wa chadema aliyepakizwa kwenye boda boda huku kazimia picha zake zinafanana na hizi tuzipe jina first blood na second blood upinzani ukiwawezesha wanaweza mama wape eneo huko bagamoyo filamu zao zitauza zaidi ya royal tour!
aise wacha kabisaBado kuna wale wengine wanaosema eti amejiteka!!! Serious!!!
Kumbe alitoa matusi, ebu niwekee nione iyo clip au meseji zake za matusi alizotukana mkuu,kwa faida ya wenginePole yake, kubwa ajirekebishe aachane na siasa za matusi coz hata sie tusiokua kwenye siasa tukizingua tunazinguliwa.
Asee jamaa wamemkamua kweli kweli ila polisi ndomana maisha Yao ni ya hovyo hovyo kwakweliTaarifa ya Chama cha ACT Wazalendo imeeleza "Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Aghakhan, Dar es Salaam kutokana na kuumizwa kwa kipigo na watu waliomteka."
Pia soma
~ Taarifa ya kutekwa kwa Abdul Nondo kutoka ACT Wazalendo
~ Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo
cha Mabasi cha Magufuli
Nikisema wewe ni bwabwa nakosea?Yule dada wa chadema aliyepakizwa kwenye boda boda huku kazimia picha zake zinafanana na hizi tuzipe jina first blood na second blood upinzani ukiwawezesha wanaweza mama wape eneo huko bagamoyo filamu zao zitauza zaidi ya royal tour!
Hiki ni kipigo cha mbwa mwizi..😭Taarifa ya Chama cha ACT Wazalendo imeeleza "Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Aghakhan, Dar es Salaam kutokana na kuumizwa kwa kipigo na watu waliomteka."
Pia soma
~ Taarifa ya kutekwa kwa Abdul Nondo kutoka ACT Wazalendo
~ Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo
cha Mabasi cha Magufuli
Katukana wapi!Pole yake, kubwa ajirekebishe aachane na siasa za matusi coz hata sie tusiokua kwenye siasa tukizingua tunazinguliwa.
Haya ndio nini sasa na huo ungese wako!Nikisema wewe ni bwabwa nakosea?
Huyo pimbi atakayesema hivyo lzm awe kichaa nchi hii haina amani.Halafu utamskia pimbi mmoja anasema Tanzania kuna amani sana
Wendawazimu wapo wengi wa kusema mama anaupiga mwingi.Halafu utamskia pimbi mmoja anasema Tanzania kuna amani sana