Picha za Abdul Nondo akiwa hospitali akiendelea na matibabu

Picha za Abdul Nondo akiwa hospitali akiendelea na matibabu

Taarifa ya Chama cha ACT Wazalendo imeeleza "Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Aghakhan, Dar es Salaam kutokana na kuumizwa kwa kipigo na watu waliomteka."

Pia soma
~
Taarifa ya kutekwa kwa Abdul Nondo kutoka ACT Wazalendo
~ Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo
cha Mabasi cha Magufuli
Kuna watu wachache kwa roho zao za ajabu walisema hawataamini mpaka waone picha.
 
Surah Ibrahim (14:42):
"Wala usidhani kwamba Mwenyezi Mungu ameghafilika na wanayoyatenda madhalimu. Yeye anawaakhirisha tu mpaka siku ambayo macho yatakodoka."
Aya hii inaonyesha kwamba Mwenyezi Mungu anawaachia madhalimu kwa muda tu, lakini siku ya mwisho watapata malipo yao kwa dhuluma walizofanya.


2. Surah Al-Anbiya (21:47):
"Na tutapiga mizani zilizo sahihi Siku ya Kiyama. Basi haitadhulumiwa nafsi yoyote kwa lolote. Na hata ikiwa ni uzito wa chembe ya haradali tutakileta. Na inatosha kwamba Sisi ni waweka hisabu."
Aya hii inathibitisha kwamba hakuna dhuluma hata ndogo itakayopitilizwa; kila jambo litahesabiwa kwa haki kabisa
Watu wanadhuriwa ww unaleta aya za kikobaz hapa.
 
Nondo kaumizwa na falsafa anayoipinfania. Ujamaa. Tusidhani kama akaumizwa sana kisaikolojia kama walivyoumizwa wasiojua mifumo. Ujamaa ni Uimla. Na haya ni matokeo ktk serikali yenye imani ya ya Ujamaa. Ubepari utatulitea upinge hadharani.

Ukombozi kwa Uoni wangu uko ktk falfasa ya Cultural Diversity Society.

bahati mbaya hakuna chama kinachopigania nadharia hii.

Hatusgangai kuona yanayotokea wanaendelea kutokea. Ktk ccm na act wote ni wenye kupigania imani ya Ujamaa iendelee kututawala
 
Taarifa ya Chama cha ACT Wazalendo imeeleza "Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Aghakhan, Dar es Salaam kutokana na kuumizwa kwa kipigo na watu waliomteka."

Pia soma
~
Taarifa ya kutekwa kwa Abdul Nondo kutoka ACT Wazalendo
~ Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo
cha Mabasi cha Magufuli
CC Pascal Mayalla na Kadhi Mkuu 1
 
Taarifa ya Chama cha ACT Wazalendo imeeleza "Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Aghakhan, Dar es Salaam kutokana na kuumizwa kwa kipigo na watu waliomteka."

Pia soma
~
Taarifa ya kutekwa kwa Abdul Nondo kutoka ACT Wazalendo
~ Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo
cha Mabasi cha Magufuli
Aisee😳😳😳
 
Yule dada wa chadema aliyepakizwa kwenye boda boda huku kazimia picha zake zinafanana na hizi tuzipe jina first blood na second blood upinzani ukiwawezesha wanaweza mama wape eneo huko bagamoyo filamu zao zitauza zaidi ya royal tour!
,,,Unasemaj
 
Hilo Goti la Abdul Nondo linatoa picha ya kama mtu anazomeya,alafu kinywa chake kina meno makali sana,augue pole Mkuu Nondo.
 
Pole yake, kubwa ajirekebishe aachane na siasa za matusi coz hata sie tusiokua kwenye siasa tukizingua tunazinguliwa.
Kumbe alitoa matusi, ebu niwekee nione iyo clip au meseji zake za matusi alizotukana mkuu,kwa faida ya wengine
 
Taarifa ya Chama cha ACT Wazalendo imeeleza "Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Aghakhan, Dar es Salaam kutokana na kuumizwa kwa kipigo na watu waliomteka."

Pia soma
~
Taarifa ya kutekwa kwa Abdul Nondo kutoka ACT Wazalendo
~ Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo
cha Mabasi cha Magufuli
Asee jamaa wamemkamua kweli kweli ila polisi ndomana maisha Yao ni ya hovyo hovyo kwakweli
 
Yule dada wa chadema aliyepakizwa kwenye boda boda huku kazimia picha zake zinafanana na hizi tuzipe jina first blood na second blood upinzani ukiwawezesha wanaweza mama wape eneo huko bagamoyo filamu zao zitauza zaidi ya royal tour!
Nikisema wewe ni bwabwa nakosea?
 
Taarifa ya Chama cha ACT Wazalendo imeeleza "Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Aghakhan, Dar es Salaam kutokana na kuumizwa kwa kipigo na watu waliomteka."

Pia soma
~
Taarifa ya kutekwa kwa Abdul Nondo kutoka ACT Wazalendo
~ Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo
cha Mabasi cha Magufuli
Hiki ni kipigo cha mbwa mwizi..😭
 
Halafu utamskia pimbi mmoja anasema Tanzania kuna amani sana
Wendawazimu wapo wengi wa kusema mama anaupiga mwingi.

Serikali ikishindwa kuwahakikishia usalama wananchi wake au yenyewe ikashiriki kuhatarisha usalama wa wananchi maana yake serikali hiyo imefeli na Rais amefeli.

Samia is failure president, na kumbukumbu zote siku za mbeleni zitaonesha hivyo.
 
Back
Top Bottom