Kama huyu wamemfanya hv sipati picha mdude huko aliko anayapitia yapi, naona watakuwa wanamning'iniza kama popo huku wakimchapa bakora za matakoni.
Duh hawa watu sio poa, halafu lile bonge tarimo lililokoswakoswa kutekwa linahojiwa eti linasema tusijadili issue yake linaimani na hawa manjagu. Jinga sn ss kama lilikuwa linaona ni watu wema kwa nn lilikuwa linagoma kupanda gari ili wakalunyooshe vizuri
Lilikuwa linajamba tu siku ile wale wahuni walipokuwa wanaliingiza kwenye gari huku likilia kuomba msaada, na inavyoonesha bado yupo kwenye target zao akijaa safari wanamchukua mazima na akirudi hai itakuwa bahati yake unless atakuwa zaidi ya nondo maana kamekuwa kadogo huku kakitafakari yaliyomsibu.