Picha za Abdul Nondo akiwa hospitali akiendelea na matibabu

Picha za Abdul Nondo akiwa hospitali akiendelea na matibabu

Sasa unasema kapewa onyo.onyo la Nini?si ina maana umefurahi Abdul kupigwa?ndivyo utawala wa Sheria unavyotaka?unateka,unapiga ukiamua unaua kabisa na hatuna mtu wa kukufsnya kitu?kisa yeye act wewe ccm?
Ndugu, una haki ya kuuliza ila hauna haki ya kutuhumu kwa sababu dhana imekatazwa.

Kingine si mfuasi wa chama chochote!

Kingine nimefundishwa dua ya mwenye kudhulumiwa haina pazia.

Kingine nimefundishwa mwenye kuua ana laana ya Mungu, kwani kuua ni sawa sawa na kuvunja jengo alilolijenga Mungu.

Kuna pigo la kuleta maafa na pigo la kutoa onyo!

Bw. Abdu pigo alilopigwa ni la onyo kwa maana waliyompiga hawakutaka kumpa maafa bali wamemfikishia ujumbe kuwa usijione upo salama sana! Ndiyo tafsiri ya hilo pigo!

Hao watekaji wametoa ujumbe wa namna hiyo ukiangalia Bw. Abdu kwa pigo alilolipata.

Sijui umenielewa?
 
Kilichobaki ni kuwalilia wazungu - watusaidie kwamba Demokrasia waliyoileta Duniani sisi waafrica imetushida watusaidie turudie ujima wetu.
 
Mkuu,

Una hakika gani kwamba hizi ni movies?

Hujui ikiwa umekosea hizi si movies, watu wameumizwa kweli, halafu wewe ukatoa kauli hizi za kejeli utakuwa umewakosea sana si wao tu, bali Watanzania na wapenda haki wote?
Mimi simkejeli mtu ila sijaelewa kipindi cha Magufuli tuliaminishwa yeye ndie aliyekuwa akiteka na kuua!
 
Halafu anakuja mtu kama Tlaatlaah eti amani nchi iko mikononi mwa ccm
Gentleman,
Tanzania ni mahali salama na pa amani zaidi ukilinganisha na mahali pengine kokote duniani,

jambo la muhimu sana ni kuishi na watu vizuri,

kuepuka tamaa na vitu vya watu ikiwa ni pamoja na kumendea wake za watu,

acha dhuluma ya fedha au mali za watu kwasababu tu ya ubabe au umaarufu wako,

ni jambo la maana zaid kujizuia na dharau dhidi ya vitu vya watu wengine ulivyoaziama, hata kama kwako ni kidogo na si lolote,

punguza mdomo na matusi kwa wasiopenda kuongea maneno, kwani wao watakujibu kwa vitendo.

hakuna bingwa wa maisha humu duniani, tuishi kwa kuheshimiana na haya yote itakua ni ndoto.

pole sana kwa kiongozi wa ACT aliepata madhara sehemu mbalimbali za mwili.

namuombea uponyaji wa mapema.

Mungu Ibariki Tanzania :pulpTRAVOLTA:
 
Halafu utamskia pimbi mmoja anasema Tanzania kuna amani sana
Ukilinganisha Tanzania , Somalia, Syria, Pakistan na Afghanistan, Egypt nk
Bado Tanzania kuna amani tena sana. Wanaojua amani ya Tanzania ni wale ambao wamewahi kuishi nchi zenye migogoro.
Hapo jirani zetu Kenya tu watu hata hawajui kusalimiana.
Marafuku kumuuliza habari za asubuhi mtu ambaye hamjuani kwa kuwa habari zake hazikuhusu.
Wakenya wanapokuja Tanzania wakaona watu wa makabila, dini na vyama tafauti vya siasa wamekaa wanakunywa kahawa pamoja wao ndio wanaoona kuwa Tanzania kuna neema ya amani.
 
Msoni yangu ni kwamba hutakiwi kutoatoa maoni yako tu bila kuwa na ushahidi wa kutosha kwenye mambo sensitive kama haya.

Hususan kama maoni yako yanamtilia shaka mtu aliyeumizwa.
Ndio maana kila mmoja aheshimu maoni ya mwingine huo mjadala mpana kama maoni yangu yamekukwaza pole sana mkuu!
 
Kama huyu wamemfanya hv sipati picha mdude huko aliko anayapitia yapi, naona watakuwa wanamning'iniza kama popo huku wakimchapa bakora za matakoni.

Duh hawa watu sio poa, halafu lile bonge tarimo lililokoswakoswa kutekwa linahojiwa eti linasema tusijadili issue yake linaimani na hawa manjagu. Jinga sn ss kama lilikuwa linaona ni watu wema kwa nn lilikuwa linagoma kupanda gari ili wakalunyooshe vizuri

Lilikuwa linajamba tu siku ile wale wahuni walipokuwa wanaliingiza kwenye gari huku likilia kuomba msaada, na inavyoonesha bado yupo kwenye target zao akijaa safari wanamchukua mazima na akirudi hai itakuwa bahati yake unless atakuwa zaidi ya nondo maana kamekuwa kadogo huku kakitafakari yaliyomsibu.
Atleast mdude inajupikana yuko wapi na ana kesi
 
Back
Top Bottom