Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mliosema hii ni drama na Nondo amejiteka mnajisikiaje kwasasa?Taarifa ya Chama cha ACT Wazalendo imeeleza "Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Aghakhan, Dar es Salaam kutokana na kuumizwa kwa kipigo na watu waliomteka."
Pia soma
~ Taarifa ya kutekwa kwa Abdul Nondo kutoka ACT Wazalendo
~ Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo
cha Mabasi cha Magufuli
Walaaniwe waliofanya hayaTaarifa ya Chama cha ACT Wazalendo imeeleza "Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Aghakhan, Dar es Salaam kutokana na kuumizwa kwa kipigo na watu waliomteka."
Pia soma
~ Taarifa ya kutekwa kwa Abdul Nondo kutoka ACT Wazalendo
~ Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo
cha Mabasi cha Magufuli
Hivi tunajilindaje kwa mfanoWatanzania hatuko kwenye mikono salama. Ni wajibu wa kila mtu kujilinda na sio kutegemea tena vyombo vya dola.
Weka video akitukana?!Pole yake, kubwa ajirekebishe aachane na siasa za matusi coz hata sie tusiokua kwenye siasa tukizingua tunazinguliwa.
Ww ni 🌈Yule dada wa chadema aliyepakizwa kwenye boda boda huku kazimia picha zake zinafanana na hizi tuzipe jina first blood na second blood upinzani ukiwawezesha wanaweza mama wape eneo huko bagamoyo filamu zao zitauza zaidi ya royal tour!
Naona mwili wa Nondo hauna damu kabisa. Surely damu za Watanzania hasa Wapinzani mnazigida balaa kama kisusio.Yule dada wa chadema aliyepakizwa kwenye boda boda huku kazimia picha zake zinafanana na hizi tuzipe jina first blood na second blood upinzani ukiwawezesha wanaweza mama wape eneo huko bagamoyo filamu zao zitauza zaidi ya royal tour!
Huyu dogo si ndio yule wa expansion joint ya awamu ya 5?Taarifa ya Chama cha ACT Wazalendo imeeleza "Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Aghakhan, Dar es Salaam kutokana na kuumizwa kwa kipigo na watu waliomteka."
Pia soma
~ Taarifa ya kutekwa kwa Abdul Nondo kutoka ACT Wazalendo
~ Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo
cha Mabasi cha Magufuli
100%Watanzania hatuko kwenye mikono salama. Ni wajibu wa kila mtu kujilinda na sio kutegemea tena vyombo vya dola.
Umejuaje!Naona mwili wa Nondo hauna damu kabisa. Surely damu za Watanzania hasa Wapinzani mnazigida balaa kama kisusio.
Unapromoti mchongo wako!Ww ni 🌈
Zipe jina mimi sizijui!Na Mzee kibao ilikuwa episode ya ngapi?
Tundu lisu pale Area D ilikuwa episode ya ngapi?
Waliouwawa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ni episode ya ngapi?
Lakini muhimu kuliko yote siku yakikukuta na wewe itakuwa episode ya ngapi????
Dada
Karibu drc na Somalia, au hata Rwanda tu
Kuna amani sana
ngoja na ww ck yakukute afu tuone km utaongea upuuzi wakoMbona majeraha sio mabichi jana tu....si walisema mahututi lakini sura imenawiri tu drama nyingi.