Picha za Abdul Nondo akiwa hospitali akiendelea na matibabu

Picha za Abdul Nondo akiwa hospitali akiendelea na matibabu

Taarifa ya Chama cha ACT Wazalendo imeeleza "Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Aghakhan, Dar es Salaam kutokana na kuumizwa kwa kipigo na watu waliomteka."

Pia soma
~
Taarifa ya kutekwa kwa Abdul Nondo kutoka ACT Wazalendo
~ Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo
cha Mabasi cha Magufuli
Mliosema hii ni drama na Nondo amejiteka mnajisikiaje kwasasa?
 
Taarifa ya Chama cha ACT Wazalendo imeeleza "Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Aghakhan, Dar es Salaam kutokana na kuumizwa kwa kipigo na watu waliomteka."

Pia soma
~
Taarifa ya kutekwa kwa Abdul Nondo kutoka ACT Wazalendo
~ Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo
cha Mabasi cha Magufuli
Walaaniwe waliofanya haya
Binadamu mwenye utu hawezi kufanyia binadamu mwenzie hivi,
Hawa ni zaidi ya wanyama.

Mungu wa haki na ahukumu Kwa haki.
 
Yule dada wa chadema aliyepakizwa kwenye boda boda huku kazimia picha zake zinafanana na hizi tuzipe jina first blood na second blood upinzani ukiwawezesha wanaweza mama wape eneo huko bagamoyo filamu zao zitauza zaidi ya royal tour!
Naona mwili wa Nondo hauna damu kabisa. Surely damu za Watanzania hasa Wapinzani mnazigida balaa kama kisusio.
 
Taarifa ya Chama cha ACT Wazalendo imeeleza "Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Aghakhan, Dar es Salaam kutokana na kuumizwa kwa kipigo na watu waliomteka."

Pia soma
~
Taarifa ya kutekwa kwa Abdul Nondo kutoka ACT Wazalendo
~ Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo
cha Mabasi cha Magufuli
Huyu dogo si ndio yule wa expansion joint ya awamu ya 5?
 
Surah Ibrahim (14:42):
"Wala usidhani kwamba Mwenyezi Mungu ameghafilika na wanayoyatenda madhalimu. Yeye anawaakhirisha tu mpaka siku ambayo macho yatakodoka."
Aya hii inaonyesha kwamba Mwenyezi Mungu anawaachia madhalimu kwa muda tu, lakini siku ya mwisho watapata malipo yao kwa dhuluma walizofanya.


2. Surah Al-Anbiya (21:47):
"Na tutapiga mizani zilizo sahihi Siku ya Kiyama. Basi haitadhulumiwa nafsi yoyote kwa lolote. Na hata ikiwa ni uzito wa chembe ya haradali tutakileta. Na inatosha kwamba Sisi ni waweka hisabu."
Aya hii inathibitisha kwamba hakuna dhuluma hata ndogo itakayopitilizwa; kila jambo litahesabiwa kwa haki kabisa
 
Na Mzee kibao ilikuwa episode ya ngapi?
Tundu lisu pale Area D ilikuwa episode ya ngapi?
Waliouwawa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ni episode ya ngapi?

Lakini muhimu kuliko yote siku yakikukuta na wewe itakuwa episode ya ngapi????
Zipe jina mimi sizijui!
 
Back
Top Bottom