Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Juzi kati nilivutiwa na thread hii ambayo pia nilikuta ikisambaa kwenye magroup mengi ya Whatsapp including Yale ya Sekondari. Thread yenyewe hii hapa
www.jamiiforums.com
Nakumbuka nilikomenti kwenye Ile thread kwakua kulikua na school mates ambao waliponea chupu chupu.
Leo nilikuja Tanga. Na nilipofika eneo la tukio nikakumbuka kisa hiking, nikasimama na kuchukua picha za kibao kilichotajwa kwenye Uzi huo, hakika ni kumbukumbu inayoumiza.
Mahali hapa huwezi kuamini kuwa ndipo palijaa maji ndani ya nusu saw na kusabibisha maafa makubwa na baada ya tukio hilo hapajawahi kujaa maji
Chanzo cha mabasi ya "No Challenge" kuitwa "Tashriff"
Anaandika mzee Joseph Jandwa Leo 3/5/2023 imetimia miaka 25 tangu ajali ya basi iliyosababisha vifo vya abiria 96 na majeruhi 9, ilipotokea jioni ya tar 3/5/1998. Kihistoria haijawahi kutokea ajali mbaya ya basi iliyoua watu wengi kama hiyo. Mimi ni miongoni mwa wale 9 walionusurika kwa neema...
Nakumbuka nilikomenti kwenye Ile thread kwakua kulikua na school mates ambao waliponea chupu chupu.
Leo nilikuja Tanga. Na nilipofika eneo la tukio nikakumbuka kisa hiking, nikasimama na kuchukua picha za kibao kilichotajwa kwenye Uzi huo, hakika ni kumbukumbu inayoumiza.
Mahali hapa huwezi kuamini kuwa ndipo palijaa maji ndani ya nusu saw na kusabibisha maafa makubwa na baada ya tukio hilo hapajawahi kujaa maji