Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Hhhahaha mwamba utafikiri sio yeye yaniNimemuona panki anatupia kuongeza kilo
Hata mm niliwaza hivyo ila picha zimetoka kwenye chanzo cha kuaminikaHiyo ya Kim Jong un inaweza kuwa feki
Putin anajiachia China 🇨🇳Hata mm niliwaza hivyo ila picha zimetoka kwenye chanzo cha kuaminika
Kim, Dwayne Johnson trampp, obamaJe umemgundua Nani Kati ya Hawa Kuna viongozi wakubwa, wafanyabiashara wakubwa, wasanii wakubwa wakiwa sehemu tofauti na Dunia yao.
N. B. Atakaewajua wote ninazawadi yake View attachment 2673807View attachment 2673808View attachment 2673809View attachment 2673811View attachment 2673813View attachment 2673815View attachment 2673816View attachment 2673818View attachment 2673819View attachment 2673820View attachment 2673821View attachment 2673822View attachment 2673823View attachment 2673824View attachment 2673826View attachment 2673827View attachment 2673828
Na km eneo moja au tukio la kufananambona hizi picha kama viongozi wote wako China au nimeona Peke yangu
Ndohivyo umekosa zawadi yanguHiyo ya Kim Jong un inaweza kuwa feki
Nikiwa namaana nje ya dunia wanayoishiFamousness/Fame is overrated.
Unamaanishaje nje ya uhalisia,
uhalisia ni upi?
maisha yana sura nyingi na zote ni halisi
Mkuu wachina hawatakiwi kuonekana?Mbona picha zote zinaonesha wapo na jamii ya wachina tu? Picha sio za uhalisia
zawqdi gan tena hiyoNdohivyo umekosa zawadi yangu
Hujataja woteObama, Mark, Elon, Trump,Putin, Kim,............., ............,.........., Dwayne, Tom, ........,............Jennifer,Leonard