Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #41
Mnajifanya mnajua sana, ngoja niwaacheAI generated
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnajifanya mnajua sana, ngoja niwaacheAI generated
...Naona Zote ni Kama Feki TU ! Mbona Eneo ni Kama lile lile tuu ??Hiyo ya Kim Jong un inaweza kuwa feki
Ila nadhan brothwr mpwayung alitaka kujua je kama kuna mtu anawez fahamu watu maarufu kwenye picha atoe zawad ya bia...Naona Zote ni Kama Feki TU ! Mbona Eneo ni Kama lile lile tuu ??
Umeshasema kama...Naona Zote ni Kama Feki TU ! Mbona Eneo ni Kama lile lile tuu ??
Kuna mmoja kajitahidi ila kafeli Kwa mmoja tuIla nadhan brothwr mpwayung alitaka kujua je kama kuna mtu anawez fahamu watu maarufu kwenye picha atoe zawad ya bia
ngoja nichek ila huyo atakuw anawagoogle niniKuna mmoja kajitahidi ila kafeli Kwa mmoja tu
Yeah, hata mm nahisi hivyo. Kaingia gugongoja nichek ila huyo atakuw anawagoogle nini
wengina nawajua kwa sura ila majina siwajui
Ukiweka hii tena unatakiwa uweke na deadline kabisa😬Yeah, hata mm nahisi hivyo. Kaingia gugo
Tupe originalwasomi mnashindwa kugundua kwamba hizo pic ni FAKE?
Hapana sioMbona kama ni AI generated
Kwanini sio?Hapana sio
Inawezekana,ila Putin amefikia ngazi ya black belt kwenye martial arts.Putin anajiachia China 🇨🇳
.huyo atakuwa akiend kujifunza martial arts huko
Unataka kusema putin na ule uzee wake tukizikunja anaweza kuchukua hata round tatu??Inawezekana,ila Putin amefikia ngazi ya black belt kwenye martial arts.
Nyingi hapo ni fakeHiyo ya Kim Jong un inaweza kuwa feki
Zote ni FAKENyingi hapo ni fake
Tupe original zakoZote ni FAKE