Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
- Thread starter
- #41
Anakula pesa ya tax payers, unafikiri kuwa 98 na bado unadunda kunakuja na matunzo mazuri. Mume wa Queen ni mtu mkubwa sana hasubiri foleni kwa daktari wala hapigi pasi shati lake.Alichofaidi ni kunyunyiza tu. Siku hizi za uzeeni ndio amekaa kimya kabisa. A good but miserable life that he had chosen. How could it be without being myself?
Kazi kweli kweli