Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,261
- 3,679
Inshara ya heshima kwa mutu anaye kuliza bila kupigwa!Kwanza watoto hawakurithi jina lake
Pili kila wanapokwenda hawezi kukaa kabla malkia hajakaa.
Na mengine mengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inshara ya heshima kwa mutu anaye kuliza bila kupigwa!Kwanza watoto hawakurithi jina lake
Pili kila wanapokwenda hawezi kukaa kabla malkia hajakaa.
Na mengine mengi
Hadi viungo vyao vya uzazi viko hai na vinafanya kazi sawa bin sawiaBado wapo hai?
Wote wametoka kwenye koo za kifalmeKwahiyo hapo ninani aliezaliwa kwenye ufalme na Nani katokea uraiani? Nikimaanisha je malkia alikuwa sio mzaliwa wa ufalme ila amekuwa queen baada ya kuolewa?
Umenijibu vzr Sana swali langu asanteWote wametoka kwenye koo za kifalme
Malkia Elizabeth bintie mfalme George vi na ndio aliyerithi kiti cha enzi cha ufalme wa uingereza kutoka kwa baba yake mfalme George vi(akipendwa sana na watu wake enzi za utawala wake)baada ya kufariki 1952
Prince Philip yeye ni mjukuu wa mfalme George wa ugiriki, akitokea kwenye ukoo wa kifalme wa denmark na ugiriki.
Kihistoria utaona wote wametoka kwenye koo za kifalme.
Jambo moja ufahamu kuwa kwa pale uingereza basi Prince Philip ndio kakaribishwa kwa kuoa binti mfalme Elizabeth,kwa kuwa Prince Philip sio mwana asili wa Uingereza bali mgiriki na mdenish.
Kwa kuhitimisha hakuna hata mmoja aliyetoka mtaani wote wametoka kwenye koo za kifalme zenye kuheshimika na kutajika nyakati zile.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kukufahamisha tu Prince Phillip ni sehemu ya MI5 na amekuwa kiapoo cha kuitumikia nchi. Mfalme anaejua ya ni mtoto wake Prince Charles lakini yeye hawezi kuwa mfalme ila ni Prince anaemsaidia mtawala.Swali la pili huyo prince anadhibitiwa vipi kiusalama je hawezi kuuhujumu ufalme wa uingereza kwaniaba ya nchi zake alizotoka?
Pili kumbe inwezekana siku moja ufalme wa uingereza ukaingiliwa na alien ambae sio muingereza kupitia mapenzi Kama DOD alifayed na huyo prince Philip ikimaanisha kwamba ipo siku mtoto wa king mswati atakuja kuwa mfalme wa uk au Toto la ugaidini saudia litakuja kuwa king of uk.
Si ukute amevumilia ata mke kuchepuka si una mke akiwa maarufu anataman alambwe na kila mtuHuyo mbaba amevumilia mengi kweli. Kama angekuwa kina siye lazima angesepa mapema
Da ni utumwa wa hali juuKwanza watoto hawakurithi jina lake
Pili kila wanapokwenda hawezi kukaa kabla malkia hajakaa.
Na mengine mengi
Kama watoto Wa Mwalimu nyerere wote wajeda.Hivi hua kuna siri gani hawa royals wote wa kiume kupitia jeshini? Ukiangalia watoto wao wote wa kiume pia ni wajeda au wamepitia jeshini
How have you got to know?Huyo mbaba amevumilia mengi kweli. Kama angekuwa kina siye lazima angesepa mapema
MmmmmhKwanza watoto hawakurithi jina lake
Pili kila wanapokwenda hawezi kukaa kabla malkia hajakaa.
Na mengine mengi
Hii ni way style, ndiyo vijana wa enzi hizo walikuwa wanachana hivyo.
Hata Oscar Kambona na Dr Kamuzu Banda walichana way la kufa mtu.
Prince Philip ndio amefariki leo.Bado wapo hai?