and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Harry ndo yule ameoa mke kisabengo-ngozi ya goti?Ninaona amefanana sana na Harry
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Harry ndo yule ameoa mke kisabengo-ngozi ya goti?Ninaona amefanana sana na Harry
Upo kwenye kasri la kifalme, movement zako zinafuatiliwa. Utachujaje?Hv huyu jamaa hakuwahi ku cheat !!?
miaka yooote anapiga kitu moya tu mpaka amekufa balaa tupu!
Bonge ya jela hiyo....Upo kwenye kasri la kifalme, movement zako zinafuatiliwa. Utachujaje?
Labda upapamie housemaidsBonge ya jela hiyo....
Huyu marehemu alikuwa raia wa wapi? England??? Alikuw mjeshi kabla au baada ya kuchumbia ndio akapelekwa jeshiniNi utamaduni wa wafalme wote lazima wapitie jeshini, kumbuka Alexander the Great, Napoleon, etc
Hao jamaa mabedui walimpoteza princess D baada kuona mvaa kobazi atawaletea mtoto toka Umangani katika kasri.Alikua Mjeshi, asili yake Ujerumani na Ugiriki.
Tuwe wa kweli katika hili, hivi Diana angekua Mwarabu na apewe mimba wana Mzungu, familia ya kifalme ingefanya maamuzi gani?Hao jamaa mabedui walimpoteza princess D baada kuona mvaa kobazi atawaletea mtoto toka Umangani katika kasri.
Ndoa Yao imedumu niliona interview prince Phillip anasema kikubwa ni uvumilivu ili ndoa idumuThey have been married for 73 years! WOW! He was 26 years and she was 22 years old.
Tatizo Umangani akili zao wanazijua wenyewe. Halafu nadhani waliona Mfalme wa baadae Great Britain (Prince William angekuja kuwa na ndugu Mvaa kobazi ingekua sio. Full confusion!Tuwe wa kweli katika hili, hivi Diana angekua Mwarabu na apewe mimba wana Mzungu, familia ya kifalme ingefanya maamuzi gani?
Kama he'll ipo jina lako la ukoo la nn? Anko Shamte Soma hiyooNa amevumilia na kujitolea mengi, mpaka kuzikwa anazikwa ukweni, watoto hawakubeba jina lake. Mke pia anaitwa Elizabeth Windsor.
Huo ndo uvumilivu unaotakiwa maana hakuwa raia wa uingereza, na kwanini watoto hawakubeba majina yake?Na amevumilia na kujitolea mengi, mpaka kuzikwa anazikwa ukweni, watoto hawakubeba jina lake. Mke pia anaitwa Elizabeth Windsor.
Watoto wa Bashite je?Watoto wanapata majina ya miji, kama George Huyu mtoto wa Kate anaitwa George Cambridge, Archie ni Archie Harrison Sussex
Ooh kumbeWatoto wanapata majina ya miji, kama George Huyu mtoto wa Kate anaitwa George Cambridge, Archie ni Archie Harrison Sussex
Miaka 73 ya ndoa siyo mchezoView attachment 1175088
Familia ikiwa kwenye Polo match na mbwa wao, Prince Charles na Princess Anna
View attachment 1175419
Wakifurahia miaka 70 ya ndoa 2017