Kidemu kinaonekana kina peace of Mind! kwa sura tu! haka hata alikuwa akikaambia ingia jikoni kana kwenda tu! siyo kama Camilla korofi lile lidada wee!! charles anakoma yaani!
Princesses Diana kalikuwa na kiburi baridi cha wazi kwa muonekano tu!! hata Matendo yake yalionyesha!! kaliamua tu kuchukuliwa na Doddy ili kuwa komesha!! kalijisemea moyoni hata wakiniua nita kuwa sha dhalilisha ufalme tu kwani nini bana!
Kamemrithisha Hurry hii jeuri huyu dogo! kaoa anakojua yeye kuwa ni sawa!! akamwaga Manyaga ya kubebwa bebwa km mfalme ni km kanajisemea moyoni'' wamemuua Mama namie sikai hapa! na wauaji .......naondoka tu km mama alivoondoka !! William ukibaki shauri zako lkn mie Mama ni kila kitu!''