Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 1,277
- 2,888
Tuweke picha zetu wanaume namna tunavyopambana kupambania familia zetu.
Lengo la huu uzi ni kutiana Moyo na kuombeana katika mapambano ya kila siku.
Hakika tutakula kwa jasho.
Mathayo 6:6-9
"Nanyi mnapokuwa katika kusali salini mkiomba.
Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako Litukuzwe
Ufalme wake uje
Mapenzi yako yatimizwe
UTUPE LEO MKATE WETU
utusamehe makosa yetu, kama nasi tunavyoawasamehe waliotukosea.
usitutie Majaribuni
Lakini utuokoe na yule mwovu
Kwa kiwa, ufalme ni wako.na nguvu na utukufu
Sasa hata Milele
Amina.
Lengo la huu uzi ni kutiana Moyo na kuombeana katika mapambano ya kila siku.
Hakika tutakula kwa jasho.
Mathayo 6:6-9
"Nanyi mnapokuwa katika kusali salini mkiomba.
Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako Litukuzwe
Ufalme wake uje
Mapenzi yako yatimizwe
UTUPE LEO MKATE WETU
utusamehe makosa yetu, kama nasi tunavyoawasamehe waliotukosea.
usitutie Majaribuni
Lakini utuokoe na yule mwovu
Kwa kiwa, ufalme ni wako.na nguvu na utukufu
Sasa hata Milele
Amina.