Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 1,277
- 2,888
Hahaaaaa naweka kiongozi.Weka na ile yako ukiuza madafu ikulu.
Mungu atusaidie wanaumeView attachment 2987559
Hapo mfukoni simu inaita tu, msg inaingia....."endelea na hao wanawake zako" wanawake mtachomwa na makaa ya mawe πΉ
HahaaaaaaSawa na ya ikulu muhimu na uwanjani
Huyo kwenye DP ni wewe?πππππKwan mateke ruksa kweny kupambania maisha
aaaaamen
Amina π
watoto wakiwa wakubwa wataimba "Nani kama Mama"View attachment 2987559
Hapo mfukoni simu inaita tu, msg inaingia....."endelea na hao wanawake zako" wanawake mtachomwa na makaa ya mawe πΉ
Uzuri watoto wanaoimbaga hivi huwa ni wakiume....kina mama hatuhusiki na hii kesi πwatoto wakiwa wakubwa wataimba "Nani kama Mama"
Hahahahhaahhahaa ni wote tuUzuri watoto wanaoimbaga hivi huwa ni wakiume....kina mama hatuhusiki na hii kesi π