Picha za Polisi watano waliosafilisha wahamiaji haramu zimehifadhiwa! Lakini watu wengine wanaanikwa wazi

Picha za Polisi watano waliosafilisha wahamiaji haramu zimehifadhiwa! Lakini watu wengine wanaanikwa wazi

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Double standard kwenye kuripoti matukio!

Waharifu wengine wanaanikwa picha zao hata kama uchunguzi unaendelea inakuwaje hawa picha hazijawekwa wazi?

Wakiwa wanaripoti Waharifu wengine huwaonesha kwa mbwembwe wakiwa wanawapigapiga mabegani watuhumiwa kuonesha msisitizo!
Lakini wakikosea wao hawapendi kuoneshwa kwanini?
IMG_20221103_151229.jpg
 
kama humfahamu ASP BWIRE wewe utakuwa sio mfatiliaji wa habari za mandata, mapongo, mapolisi n.k
 
polisi wamekamatwa na polisi , hahaaa walipolalamika mishahara haiwatoshi waliambiwa na yule msemaji wao kwamba wasilalamike watachukuliwa hatua kali
 
1.Dhulumati
2.Wala rushwa
3.Wavunjifu wa haki za binadamu Kwa makusudi
4. Wauaji
5. Wanajiona wako juu ya sheria
6. Wanyang'anyi
7. Makanjanja hawafanyi kazi zao Kwa weledi
8. Wanatumika vibaya na wanasiasa (kama mbwa na mmiliki wake)
Nakuja kuendelea.....
Aisee unawagia Kunguni mkuu.....

Mimi nilisikia kuwa wengi Ni classic failure yaani Zero bin Sifuri bin form four.. MwenyeziMungu nisamehe nimetoka kutubu
 
Back
Top Bottom