Picha za Polisi watano waliosafilisha wahamiaji haramu zimehifadhiwa! Lakini watu wengine wanaanikwa wazi

Picha za Polisi watano waliosafilisha wahamiaji haramu zimehifadhiwa! Lakini watu wengine wanaanikwa wazi

Nyie mngepata hilo dili mngeliacha

Hakuna asiyependa fweza

Ova
 
1.Dhulumati
2.Wala rushwa
3.Wavunjifu wa haki za binadamu Kwa makusudi
4. Wauaji
5. Wanajiona wako juu ya sheria
6. Wanyang'anyi
7. Makanjanja hawafanyi kazi zao Kwa weledi
8. Wanatumika vibaya na wanasiasa (kama mbwa na mmiliki wake)
Nakuja kuendelea.....
KUNA WAKATI VIONGOZI WA VYAMA PINZANI, WALILALAMIKA SANA JUU YA HAWA, SISI WANACHI TULIKAA KIMYAA.
NA TULIONA NI MATATIZO YAO!
SASA HIVI NAO WAKO KIMYA NA FAMILIA ZAO... SISI ZAMU YETU KULALAMIKA NYUMA YA KEYBOARD.

UKIJA KUENDELEA, TUJULISHE NINI KIFANYIKE...
 
Hampendwi!! Mmejaa dhulma na uonezi! Kaa ukijua hilo
Nikiwa polisi sitafanya ubaya wowote.Kufanya dhambi ni kujitakia tu,unaweza kua dokta ila ukawala wagonjwa pasipo hiari yao hiyo ni dhambi.
 
Back
Top Bottom