Picha za Polisi watano waliosafilisha wahamiaji haramu zimehifadhiwa! Lakini watu wengine wanaanikwa wazi

Picha za Polisi watano waliosafilisha wahamiaji haramu zimehifadhiwa! Lakini watu wengine wanaanikwa wazi

Double standard kwenye kuripoti matukio!

Waharifu wengine wanaanikwa picha zao hata kama uchunguzi unaendelea inakuwaje hawa picha hazijawekwa wazi?

Wakiwa wanaripoti Waharifu wengine huwaonesha kwa mbwembwe wakiwa wanawapigapiga mabegani watuhumiwa kuonesha msisitizo!
Lakini wakikosea wao hawapendi kuoneshwa kwanini?
View attachment 2406480
Walioneshwa aisee!Yule ASP akawa anatabasamu kwa uchungu.Amalike!
 
Double standard kwenye kuripoti matukio!

Waharifu wengine wanaanikwa picha zao hata kama uchunguzi unaendelea inakuwaje hawa picha hazijawekwa wazi?

Wakiwa wanaripoti Waharifu wengine huwaonesha kwa mbwembwe wakiwa wanawapigapiga mabegani watuhumiwa kuonesha msisitizo!
Lakini wakikosea wao hawapendi kuoneshwa kwanini?
View attachment 2406480
Yure mupe... Yure muruke. .
 
hao police Ni hatari kwa usalama wa Nchi kwa kitendo walichofanya
 
Back
Top Bottom