Licking Wounds
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 3,979
- 5,146
Wee ni polisi mmoja!! UsikataeNikiwa polisi sitafanya ubaya wowote.Kufanya dhambi ni kujitakia tu,unaweza kua dokta ila ukawala wagonjwa pasipo hiari yao hiyo ni dhambi.
Kuna ajali imetokea wamekufa watu kumi na mmasai mmoja...kkkkkkk
Inaelekea polisi hao wamechomwa na wenzao ,inaelekea dili walikuwa wanakula wenyewe [emoji1]
Ova
WaoNani sijui kawachoma, wakati walikuwa wakifuata PGO yao ya kusaidia raia wanaosumbuka.
Walioneshwa aisee!Yule ASP akawa anatabasamu kwa uchungu.Amalike!Double standard kwenye kuripoti matukio!
Waharifu wengine wanaanikwa picha zao hata kama uchunguzi unaendelea inakuwaje hawa picha hazijawekwa wazi?
Wakiwa wanaripoti Waharifu wengine huwaonesha kwa mbwembwe wakiwa wanawapigapiga mabegani watuhumiwa kuonesha msisitizo!
Lakini wakikosea wao hawapendi kuoneshwa kwanini?
View attachment 2406480
Yure mupe... Yure muruke. .Double standard kwenye kuripoti matukio!
Waharifu wengine wanaanikwa picha zao hata kama uchunguzi unaendelea inakuwaje hawa picha hazijawekwa wazi?
Wakiwa wanaripoti Waharifu wengine huwaonesha kwa mbwembwe wakiwa wanawapigapiga mabegani watuhumiwa kuonesha msisitizo!
Lakini wakikosea wao hawapendi kuoneshwa kwanini?
View attachment 2406480
Walikuwa wanatoa huduma bora kwa wenye uhitaji.Heri yao wawasaidiao asylum seekers.Kwa maana dola elfu tano zitawahusu kwa kila kichwa.Fedha fedheha!Omba yasikukute.ππππNani sijui kawachoma, wakati walikuwa wakifuata PGO yao ya kusaidia raia wanaosumbuka.
Huduma ya usafirishajiWalikuwa wanatoa huduma bora kwa wenye uhitaji.Heri yao wawasaidiao asylum seekers.Kwa maana dola elfu tano zitawahusu kwa kila kichwa.Fedha fedheha!Omba yasikukute.ππππ
Baadhi yaohao police Ni hatari kwa usalama wa Nchi kwa kitendo walichofanya