Nchi yenyewe na aliyemkaribisha ni kafiri ndiyo maana wamemkaribisha. Na mkuu wa meza analiwa vzr tu kwa raha zaoMakafiri wanatamba kwenye nchi ambayo Uislamu ulipozaliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi yenyewe na aliyemkaribisha ni kafiri ndiyo maana wamemkaribisha. Na mkuu wa meza analiwa vzr tu kwa raha zaoMakafiri wanatamba kwenye nchi ambayo Uislamu ulipozaliwa
nakuafiki kabisa. nimefika dubenga. malaya wa eastern euro wanapiga mbaya mkwanjaAsikudanye mtu. Hakuna jamii yenye usongo wa K kama wanaume wa waarabu. Malaya wote wazuri wazuri kutoka Urusi na nchi za Ulaya ya mashariki wana soko kubwa sana sehemu kama Dubai.
Cc Big Show, Faiza Foxy, Mlaria, kulwaJilala, KadhiMkuuPicha mbalimbali za Jenifa Lopez akiwa ndani ya Kingdom ya Waalab wa Saudi Arabia
Naona kumeanza kuchangamka mambo ni kwa ushahidi Uislam wao waumepereka wapi?
Yupo lesi TU kureta huzi harafu haerewi anachokierezeaHuko ambapo 'uisram 'umeperekwa'. Mleta uzi ni hamnazo kichwani
Iran siyo taifa kiarabu ni taifa la kiislamu.Mi ndo mana nampenda Iran kuliko taifa lolote la kiarabu..!
hawa saudia niliwatoa kwenye list yangu tangu walipoanza kuruhusu FBI walinde masjid al haram..!