Picha za Tamasha la Jenifa Lopez Saudi Arabia

Picha za Tamasha la Jenifa Lopez Saudi Arabia

Saudia arabia ipewe tu uenyeji wa kombe la dunia. Naona imetupilia mbali mila za kislam na kukumbatia umagharibi zaidi huku al qaaba ipo katika ardhi yake.
Wanajua kuwa ule ni utapeli na old vision haiwezi kuwafikisha popote kule kimaendeleo ktk Ushindani wa dunia ya sasa that's why wameamua kuachana na hizo Sera za Sheria za kidini ambazo Kwa namna nyingine zina changia kuufubaza uchumi , Wameona wenzao UAE Wana zaidi kuwaacha ambali
 
Huyo 👇 naye?
 

Attachments

  • 20241119_190526.jpg
    20241119_190526.jpg
    94.5 KB · Views: 3
Andika vzr mkuu,,,, unawahi wapi ?? Au unaharisha unawahi chooni.??

Ngoja nikuambie kitu kimoja, Saudi Arabia ni chimbuko la uislamu, ila sio taifa la kiislamu, na pia watu wana haki ya kuamua maisha yao….
Acha unafiki wewe mbona hawaruhusu kujengwa makanisa ingawa ukristo upo tangu kitambo na hata wakristo wapo kibao tu
 
Back
Top Bottom