Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii ni mojwapo ya comment za kijinga kupata kuioa JF. Hii naona inazipiku zote.mtasema ni waajemi, ni sawa na kusema wasomali si waafrika
Weka chanzo cha hii habariPicha mbalimbali za Jenifa Lopez akiwa ndani ya Kingdom ya Waalab wa Saudi Arabia
Naona kumeanza kuchangamka mambo ni kwa ushahidi Uislam wao waumepereka wapi?
Al Qaaba ni mwamba(rock) kama miamba mingine, tofauti ni kwamba umefunikwa kwa kitambaa cheusi chenye maandishi ya Kiarabu na ukichinja mnyama lazima kichwa ukielekeze kuliko huo mwamba popote unapochinjia duniani dah....! Na wanaamini katika huo mwamba wakizikwa lazima kichwa kielekezwe ulipo huo mwamba.Saudia arabia ipewe tu uenyeji wa kombe la dunia. Naona imetupilia mbali mila za kislam na kukumbatia umagharibi zaidi huku al qaaba ipo katika ardhi yake.
Umeona eeeeh! Eti waalabuHii lugha ya Kiswahili ni shida kwelikweli.
fox ni mbwa mwitu, nadhani unajua hilo, dada anajiita faizafox, fox ni jamii za dubu, mbweha na mbwambwa wengineFaizaMwitu atatoka povu
tunaposema waafrika watu weusi tii na sio bara, au hujui kuwa bara la afrika lina watu ambao si weusi ila wanaitwa waafrika kwa kuwa wanakaa barani afrika?hii ni mojwapo ya comment za kijinga kupata kuioa JF. Hii naona inazipiku zote.
Nani alikudanganya Uarabu ni kontinenti fulani kama Afrika?
Usipoambiwa hapo ni Iran utajua ni Europe... Wanaishi kawaida kama nchi za europe asikudanganye mtu...
Usipoambiwa hapo ni Iran utajua ni Europe... Wanaishi kawaida kama nchi za europe asikudanganye mtu...
View: https://youtu.be/s2bUgICvCQs?si=EbOIkVs1wkZali1q
Usipoambiwa hapo ni Iran utajua ni Europe... Wanaishi kawaida kama nchi za europe asikudanganye mtu...
View: https://youtu.be/s2bUgICvCQs?si=EbOIkVs1wkZali1q
Siku hizi hao Polisi wa Ayatolah huwa wanapigwa huko mitaani juzi niliona Clip moja Polisi wa maadili akijaribu kumshika Mwanamke aliyekuwa anaendesha Baiskeli bila Hijabu akachezea kipigo akachangiwa na Watu waliokuwa wakipita njia pamoja na Mwamke huyo mpaka yule Polisi wa Ayatolah akakimbia😆😁😆Wale Polisi wa kulinda maadili huko hawapo?...
Yeah! Waajemi Wana akili mno na vipaji sana hasa kwenye sayansi na teknolojia.....kama sio hivi vikwazo ingekuwa nchi yenye ustawi Sana hapo mashariki ya kati.Tatizo la Iran ni Ayatolah tu, lakini Wapersia ni Watu poa sana.
Persians sio arabs, wanafanana na watu wa Europe zaidi, kama Armenians, Greek n.k.... japo arabs pia wapo na hata wayahudi...Tatizo la Iran ni Ayatolah tu, lakini Wapersia ni Watu poa sana.
Wairan ni Aryans.Kama hii picha usingejua hao ni vijana wa Iran, ungesema ni cauvasians flani Europeans...
Na huyo ukibishana nae kidogo, atakimbilia kukwambia mimi nina digrii wewe😭Hii lugha ya Kiswahili ni shida kwelikweli.
Hizo sheria hazina uzito huo, ni kama sheria kwamba gari inapaswa kuwa na first aid kit, je wangapi wanatembea na first aid, au boda na abiria wavae helmet, lakini unaona boda wanakatiza katikati ya jiji hawana hata helmet na askari hawana time nao... Ndivyo ilivyo huko hayo mengine ni media kukuza mambo...Wale Polisi wa kulinda maadili huko hawapo?...