Picha za Tamasha la Jenifa Lopez Saudi Arabia

Picha za Tamasha la Jenifa Lopez Saudi Arabia

hii ni mojwapo ya comment za kijinga kupata kuioa JF. Hii naona inazipiku zote.

Nani alikudanganya Uarabu ni kontinenti fulani kama Afrika?
Kontinenti=continent
We bibi huko shuleni ulienda kujifunza maujinga au?
 
Ni anguko kubwa sana la elimu yetu. Imagine mtu hajui kuandika vizuri lugha rahisi kama kiswahili. Na usikute huyu anajijta msomi na ni graduate wa chuo fulani. It is a shame.
 
Yaani watu walio wengi wameacha content na kuamua kujikita kwenye RA, RE, RI, RO na RU pamoja na LA, LE, LI, LO na LU
 
Na hapo bado sana, nasikia sasa hivi kuna huyo Prince anayechukua nchi yeye amekaa na kusoma na wazungu tangu utotoni. Ana mtazamo wa kimagharibi na amekusudia kuijenga Saudi ya kisasa. Anataka ionekane more advanced kuliko nchi nyingi za Ulaya na amekusudia kupunguza masharti mengi yaliyopitwa na wakati. Wanasema mahali ambapo hapataguswa ni Mecca pekee kwasababu eneo hilo si mali ya Saudi Arabia bali ni eneo takatifu la waislam. Kwahiyo miaka 20 ijayo usishangae watu kwenda kujirusha Riyadh kama Las Vegas
 
Na hapo bado sana, nasikia sasa hivi kuna huyo Prince anayechukua nchi yeye amekaa na kusoma na wazungu tangu utotoni. Ana mtazamo wa kimagharibi na amekusudia kuijenga Saudi ya kisasa. Anataka ionekane more advanced kuliko nchi nyingi za Ulaya na amekusudia kupunguza masharti mengi yaliyopitwa na wakati. Wanasema mahali ambapo hapataguswa ni Mecca pekee kwasababu eneo hilo si mali ya Saudi Arabia bali ni eneo takatifu la waislam. Kwahiyo miaka 20 ijayo usishangae watu kwenda kujirusha Riyadh kama Las Vegas
Wenyewe kwa wenyewe huko huwa ikifika Ijumaa wanajazana kujirusha Bharain. Yaani kunakuwa na misafara mikubwa ya magari kuingia Bharain kujirusha
 
Asikudanye mtu. Hakuna jamii yenye usongo wa K kama wanaume wa waarabu. Malaya wote wazuri wazuri kutoka Urusi na nchi za Ulaya ya mashariki wana soko kubwa sana sehemu kama Dubai.
Malaya wote wazuri wazuri kutoka Urusi na nchi za Ulaya ya mashariki wana soko kubwa sana😂
Money talk..!
 
Daah Lopezi ngozi laini toka miaka hiyo hadi leo kweli kazi kazi...
 
Back
Top Bottom