Utajua wewe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2024
- 928
- 1,836
Mkuu utanunua ugomvi.fox ni mbwa mwitu, nadhani unajua hilo, dada anajiita faizafox, fox ni jamii za dubu, mbweha na mbwambwa wengine
Huyo bibi kizee atakushukia kama mwewe ngoja amalize swala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu utanunua ugomvi.fox ni mbwa mwitu, nadhani unajua hilo, dada anajiita faizafox, fox ni jamii za dubu, mbweha na mbwambwa wengine
Wana wa mfalme wanaofaidi tu ndani yw nchi ya kiislamuPicha mbalimbali za Jenifa Lopez akiwa ndani ya Kingdom ya Waalab wa Saudi Arabia
Naona kumeanza kuchangamka mambo ni kwa ushahidi Uislam wao waumepereka wapi?
Allah aliyajua yote hayo. Quran 9:19.Saudia arabia ipewe tu uenyeji wa kombe la dunia. Naona imetupilia mbali mila za kislam na kukumbatia umagharibi zaidi huku al qaaba ipo katika ardhi yake.
BAKITA IANZISHE FINE YA MAKOSA HAYA ITAPATA FEDHA NYINGI SANAHii lugha ya Kiswahili ni shida kwelikweli.
Kontinenti=continenthii ni mojwapo ya comment za kijinga kupata kuioa JF. Hii naona inazipiku zote.
Nani alikudanganya Uarabu ni kontinenti fulani kama Afrika?
Hv ķwann wanamuita ivo?Jen from the Block.
It's a matter of time tu, soon mie na Ba' Mdogo Mr. Manguruwe tutaanza kuwapelekea mboga ami zake na Mwamedi!!Picha mbalimbali za Jenifa Lopez akiwa ndani ya Kingdom ya Waalab wa Saudi Arabia
Naona kumeanza kuchangamka mambo ni kwa ushahidi Uislam wao waumepereka wapi?
Hivi kuzuia wanawake kuendesha magari nako ni kuifuata dini?Makafiri wanatamba kwenye nchi ambayo Uislamu ulipozaliwa
Wenyewe kwa wenyewe huko huwa ikifika Ijumaa wanajazana kujirusha Bharain. Yaani kunakuwa na misafara mikubwa ya magari kuingia Bharain kujirushaNa hapo bado sana, nasikia sasa hivi kuna huyo Prince anayechukua nchi yeye amekaa na kusoma na wazungu tangu utotoni. Ana mtazamo wa kimagharibi na amekusudia kuijenga Saudi ya kisasa. Anataka ionekane more advanced kuliko nchi nyingi za Ulaya na amekusudia kupunguza masharti mengi yaliyopitwa na wakati. Wanasema mahali ambapo hapataguswa ni Mecca pekee kwasababu eneo hilo si mali ya Saudi Arabia bali ni eneo takatifu la waislam. Kwahiyo miaka 20 ijayo usishangae watu kwenda kujirusha Riyadh kama Las Vegas
Sio rahisi kijana kuwa shoga na akawa na akilira, re, ri, ro, ru,
la, le, li, lo, lu
Kuzaa au kuvaa?Masikini tu ndio wanazuiwa kuzaa nusu uchi
Malaya wote wazuri wazuri kutoka Urusi na nchi za Ulaya ya mashariki wana soko kubwa sana😂Asikudanye mtu. Hakuna jamii yenye usongo wa K kama wanaume wa waarabu. Malaya wote wazuri wazuri kutoka Urusi na nchi za Ulaya ya mashariki wana soko kubwa sana sehemu kama Dubai.
Kisiwa cha kobe acha kabisa hiyo manenoBata kwenye hizi nchi zenye Uarabu linaliwa sanaaa hata visiwani Zanzibar maeneo ya Nungwi Kiwengwa, Paje