Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi kwenda gusa Iran hizo ni mbwembwe tu, Israel anajua wazi kugusa Iran ndio nwisho wao hapo.Mlio sema Iran karusha mafataki kisa haja uwa watu hovyo subirini Israel ajibu kwa kuuwa raia bila shaka mtapewa mnacho kitaka.
Zile kombora zote zaidi ya 200 indio nimepiga hapo tu ama?Picha za satalait zinazo onesha uharibifu kwenye base 2 za anga za Israel.
shirika la habari la AP lilionesha picha za setalait za Ovde air base na Nevatim air base zikiwa zimeharibiwa vibaya sana.
View attachment 3115005View attachment 3115006View attachment 3115007View attachment 3115011
Hata hapo Ukrainia tu wanapost ushindi wa wapande waoTena kama BBC ndo taka taka kabisa bora hata DW.
Ukiua raia Ina maana ww huna keshi imara na bobezi kimsingi kuua raia wasio na hatia huo ni udhaifu kama unaweza piga Kambi za jeshi ndio maana tunasema Israel Hana LOLOTE maana Kazi yake ni kuua watu wasio na hatia badala ya kuua anaopambana nao na sio kuua wanawake na watotoMlio sema Iran karusha mafataki kisa haja uwa watu hovyo subirini Israel ajibu kwa kuuwa raia bila shaka mtapewa mnacho kitaka.
Picha zenyewe ndio hizohizo tu ama kuna za ziada ambazo ziko reliable na detailed zaidi?Picha za satalait zinazo onesha uharibifu kwenye base 2 za anga za Israel.
shirika la habari la AP lilionesha picha za setalait za Ovde air base na Nevatim air base zikiwa zimeharibiwa vibaya sana.
View attachment 3115005View attachment 3115006View attachment 3115007View attachment 3115011
Sasa wewe unataka waripoti hasara hata kama haipo?Ila wazungu wanafki na waongo sana, wanaripoti habari mbaya za upande wa mpinzani tu, hata BBC siiamini tena, huwez kuona Israel iliripotiwa kupata hasara
Zile kombora zote zaidi ya 200 indio nimepiga hapo tu ama?
Unataka kuonyeshwa video ambazo bbc na cnn hawaonyeshi?Zile kombora zote zaidi ya 200 indio nimepiga hapo tu ama?
ukiwafanya watoto wako kama ngao israel itakufundisha kuwapendaUkiua raia Ina maana ww huna keshi imara na bobezi kimsingi kuua raia wasio na hatia huo ni udhaifu kama unaweza piga Kambi za jeshi ndio maana tunasema Israel Hana LOLOTE maana Kazi yake ni kuua watu wasio na hatia badala ya kuua anaopambana nao na sio kuua wanawake na watoto
Basi repoti wewe za kwakoIla wazungu wanafki na waongo sana, wanaripoti habari mbaya za upande wa mpinzani tu, hata BBC siiamini tena, huwez kuona Israel iliripotiwa kupata hasara
Mungu ameliacha Taifa lake teule lipondwe, hahahahaha........Picha za satalait zinazo onesha uharibifu kwenye base 2 za anga za Israel.
shirika la habari la AP lilionesha picha za setalait za Ovde air base na Nevatim air base zikiwa zimeharibiwa vibaya sana.
View attachment 3115005View attachment 3115006View attachment 3115007View attachment 3115011
InterestingZile kombora zote zaidi ya 200 indio nimepiga hapo tu ama?