Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo msemo wako una-apply pande zote? Kuna waliopoteza karibu uongozi mzima wa kundi lao la wanamgambo kwenye hii vita.Walio shambuliwa wanajua maumivu wanayo pitia.
Vilikuwa vinapasuka kama puto. Myahudi akiachia moja tu linapiga vilivyopo juu na na chini ya ardhi.Maboom ya hovyo kabisa hayo
Ni utadhani ni risasi zimepigwa, vitobo viduuchu, angalia liliomuuwa Nasra
Kwa hiyo huu ndiyo ushahidi wako?🤣Picha za satalait zinazo onesha uharibifu kwenye base 2 za anga za Israel.
shirika la habari la AP lilionesha picha za setalait za Ovde air base na Nevatim air base zikiwa zimeharibiwa vibaya sana.
View attachment 3115005View attachment 3115006View attachment 3115007View attachment 3115011
BBC ni mali ya United Kingdom, hao UK ndiyo walitawala Palestina, wao ndiyo walitoa koloni lao (Palestina na ikageuzwa jina kuwa Israel) kuwapa mayahudi waliosalia barani Ulaya baada ya mamilioni kati yao kuangamizwa na Adolf Hitler.Ila wazungu wanafki na waongo sana, wanaripoti habari mbaya za upande wa mpinzani tu, hata BBC siiamini tena, huwez kuona Israel iliripotiwa kupata hasara
Wanaoripoti wanapata wap?Sasa wewe unataka waripoti hasara hata kama haipo?