Picha za umbo kali la Wema Sepetu zinavyochanganya akili za watu Instagram

Hiyo mi hips km majipu yaliokauka na kusinyaa vile
 
To be real.... Avae kanga moko.
 
Mwacheni Diva wetu. Diamond mwenyewe amekiri bado humtembelea mara kwa mara
 
Angekua mzuri c angekua ashawekwa ndan kitambo na familia angekua nayo nzuri tu,
Ndio naamin msemo wa wahenga wetu kua uzuri sio sura wala shepu bali uzuri n tabia, kuna watu wana sura mbaya wameolewa na wana familia yenye maadili mazuri, so binafs siamn uzur wa nje naamn uzur wa ndan yaan tabia ya mtu.
Wema cmchukii ila sifa za watz zmemfikisha hapo alipo na uzee ndio unamwandama wenzie weng wa rika lake wana familia zao na heshma mbele ya jamii.
Sory km kuna ambaye ntamkwaza kwa namna moja au ingne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…