Picha za umbo kali la Wema Sepetu zinavyochanganya akili za watu Instagram

Picha za umbo kali la Wema Sepetu zinavyochanganya akili za watu Instagram

Hizi sifa za kijinga sn unajua ukisifiwa sn ww n mzuri huwez fanya jambo la maana, hebu mchek jokate, lisa jensen wapo mbali kmaendeleo japo jojo bado nae hana mtoto ila wamemzd sn tu,
Yy mpk leo hana nyumba, hana brand ya maana ya kumpa mkate wa cku zaid ya kutegemea sponsors, i wish i culd be wema, yaan nngefungua ht juis point nngeipa na brand juis yng najua ingeuzka sn kupitia umaarufu ila biashara yake mpk leo haieleweki
 
niliziona mitandaoni sema nilikuwa Sijajua nani nilifikiri Lulu kanumba
 
Uzuri anao
Shepu anayo
Urefu anao
Tabasamu ndo kabisaaa
Sauti ya chumbani ndo usiseme
Nundu lipo
Kudeka anajua

Najiulizaga kwann hapati mume wa ndoa ????!!! .....familia ni kitu cha furaha sana mkiwa na watoto wenu ......
Watoto majaliwa,kiongozi.
 
Au vazi la kuogelea. Ila mwaka huu mgumu. Bint wa kiislam kashindwa jifunkka gubi gubi kama miaka ya nyuma alivyokua anafanya kisa pesa
To be real.... Avae kanga moko.
 
Duh!ila mkuu wa chama kile cha "SIYASA" anakula vitamu jamani lol!!
 
Uzuri anao
Shepu anayo
Urefu anao
Tabasamu ndo kabisaaa
Sauti ya chumbani ndo usiseme
Nundu lipo
Kudeka anajua

Najiulizaga kwann hapati mume wa ndoa ????!!! .....familia ni kitu cha furaha sana mkiwa na watoto wenu ......
Very well said..

Nafikiri huyu kupata mwanaume kwa maana ya MUME kwa sasa ni kazi..

Mwanaume yoyote akicheki historia yake anapata doubt moja kubwa kwenye suala zima la uwezo wake wa kupata mimba..

Kwa ule utitiri wa wanaume ambao ameshatembea nao hajapata mimba zaidi ya zile "mimba za kutafutia kiki "..

Na yeye amekuwa akisema anataka sana kupata mtoto..!!

Muoaji yoyote anataka kutengeneza familia..na kinachofanya iitwe familia kwa wanandoa ni watoto.
Kwaiyo kumuoa huyu ni RISK kubwa sana.
 
Back
Top Bottom