Picha za umbo kali la Wema Sepetu zinavyochanganya akili za watu Instagram

Picha za umbo kali la Wema Sepetu zinavyochanganya akili za watu Instagram

Uzuri anao
Shepu anayo
Urefu anao
Tabasamu ndo kabisaaa
Sauti ya chumbani ndo usiseme
Nundu lipo
Kudeka anajua

Najiulizaga kwann hapati mume wa ndoa ????!!! .....familia ni kitu cha furaha sana mkiwa na watoto wenu ......
Shepu hana..
Kupata mume sio mchezo...
Historia yake mbaya sana
watu wanapuyanga wanadanga na wanaolewa lkn walikua wanafanya siri...
Sasa yy kila bwana anamuanika...mabusu hovyo hovyo mitandaoni...
PRIVACY HANA
 
Uzuri/Heshima ya Nyumba ni CHOO...[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
1498247411349.png
 
Tumhurumie tu ukiangalia hizo picha vizuri amevaa kibana tumbo. Wema ana kitambi cha bia ngumu kuisha haraka hivyo. Tako lipo la dawa za maimartha ila hips majanga zimeshuka balaa
Numbisa kwenye tumbo hapo Wema umemuonea...

Kati ya mambo yote yaliyomshinda kwenye tumbo ameweza kumaintain asee,

Wema hana tumbo kabisa...
 
Mkuu hapo amevaa belt angalia vizuri hio picha aliyoweka mkono kifuani. Wema ana kitambi,ushahidi picha alizoenda kumtembelea lema nyumban kwake arusha
Numbisa kwenye tumbo hapo Wema umemuonea...

Kati ya mambo yote yaliyomshinda kwenye tumbo ameweza kumaintain asee,

Wema hana tumbo kabisa...
 
Mkuu hapo amevaa belt angalia vizuri hio picha aliyoweka mkono kifuani. Wema ana kitambi,ushahidi picha alizoenda kumtembelea lema nyumban kwake arusha
I agree with u kwa Lema..

Ila juzi kati nilimuona kitaa anapiga ulabu (umemkolea anacheza mziki )
Hakuwa na tumbo kabisa....anyway labda ndo zake kufunga belt nisitetee sana
 
Back
Top Bottom