multmandalin
JF-Expert Member
- Sep 8, 2012
- 2,034
- 577
Ndo yeye! Mzima wa afya! Mara ya mwisho alipanda mlima Kilimanjaro akiwa na miaka sabini! 2007mrisho sarakikya anaishi moshono arusha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo yeye! Mzima wa afya! Mara ya mwisho alipanda mlima Kilimanjaro akiwa na miaka sabini! 2007mrisho sarakikya anaishi moshono arusha?
Mkuu, edit uzi wako uongezee mkuu wa majeshi mpya....Picha za wakuu wa jwtz tokea tanzania ilipopata uhuru wake
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ni ukurya tu...si unajua tena nyerere aliwakabidhi wakurya jeshi?
Nahsi alikuwa wa kutokea jeshi la malikia mana wetu wa kwanza ameanza 1964Nani alikuwa mkuu wa majeshi kati ya tarehe 9 Desemba 1961 mpaka 1964?
Mkuu ni Gen George Mwita Waitara 2002-2007 picha yake ipo apoMwita Marwa simuoni hapo au hakuwahi kuwa mkuu wa majeshi
Simaanishi Waitara namaanisha Mwita Marwa Generali pekee aliyewahi kutumikia vyeo vyote vya jeshi. Nadhani aliongozana na Generali Kyaro .Huyu Waitara namfahamu vizuri sana alikuwa jirani yangu pale Katoke road-Osterbay.Mkuu ni Gen George Mwita Waitara 2002-2007 picha yake ipo apo
Alikuwa CDF mwaka gani?Simaanishi Waitara namaanisha Mwita Marwa Generali pekee aliyewahi kutumikia vyeo vyote vya jeshi. Nadhani aliongozana na Generali Kyaro .Huyu Waitara namfahamu vizuri sana alikuwa jirani yangu pale Katoke road-Osterbay.
Sikumbuki vizuri ila nadhani ni baada ya Msuguri ndio akafuata KyaroAlikuwa CDF mwaka gani?
Bila shaka unamzungumzia Mwita Marwa Wabachira. Huyu hakuwahi kuwa CDF ila alifika nafasi za juu huko JWTZMwita Marwa simuoni hapo au hakuwahi kuwa mkuu wa majeshi
Mkunda wapi?Sarakikya - Arusha
Twalipo - Mtwara? sina uhakika
Musuguri - Mara
Kiaro - Mara
Mboma - Mbeya
Waitara - Mara
Mwamunyange - Mbeya
Next - ???
na yuko ngangari hadi leo yeye anapiga miwani nyeusi tuh ndani ya hilax mayaisarkikia anasura ya kazi
MorogoroMkunda wapi?