Picha: Zaidi ya Maneno, zaidi ya Hisia. Je, unaushauri gani?

Picha: Zaidi ya Maneno, zaidi ya Hisia. Je, unaushauri gani?

Huwezi kuwa na Bunge la matahira la ccm na mwenyekit wao, ukawa na mfumo bora utakotengeneza mfumo bora wa elimu kuanzia chini mpaka juu.
Saikolojisti wanakwambia elimu bora huendana na mavazi bora..
 
tuna viongozi wabinafsi.. wanaohakikisha maslahi yao yanazidi kuboreshwa kila siku... tungekuwa na bunge linalojali wananchi lingefuta luxury zote wanazopata viongozi wa umma, uongozi ungekuwa ni kazi ya kujitolea, wenye maslahi ya kawaida... ila huu ukwasi wa maposho makubwa, mamishahara makubwa, kuhudumiwa kila kitu wao na familia zao , inafika mwisho wa mwezi mbunge hajatumia hata 100 ya mshahara wake, mapesa ya kuwafurahisha na kuwatukuza viongozi ni mengi sana yangeweza kurudishwa kutatua umaskini wa wananchi kdg kdg mpaka kila mtu angefikiwa,
sielewag kwann nchi masikini kama tz, halafu viongozi wana bata zote hizo, na migari mikubwa ya kifahari, ni misafara mirefu ambayo yote imepigwa full tank kwa kodi zetu, kila kichwa kimepewa posho nzito nzito..

ILA KWA KUWA TANGU UHURU TUMETAWALIWA NA CCM NA WAMERIDHIKA NA UFUKARA WA WATU WAKE, BASI SULUHISHO NI MABADILIKO, KATIBA MPYA, UONGOZI MPYA.
 
Acha dhana potofu na kuiongopea Jamii.
=
View attachment 2784226
=
View attachment 2784227
Matokeo yangu: "Miaka hiyo ya 90" kama ulivyosema
Mbna kama cheti ni cha ndalichako meanw cha vijana wa 2000s hiki maana miaka ile ya Tisini na 80s sehemu ya matokeo ilitofautiana Rangi kidog na seemu zingine kuna tofauti ya fonts za miaka 90s na 80s mkuu 😅😅....(A joke but ni halisi cha 90s kulingana na fonts na muundo(designs))
 
Nchi ya hovyo sana hii, Uingereza ambayo inawapa misaada waziri mkuu anatumia saloon car na bado anabanana humo na wasaidizi wake..........lakini bongolala mheshimiwa anatembeza kiwanda barabarani peke yake na dereva.​
 
Taiizo nini, naona picha mbili tofauti?
Taiizo = Tatizo📌
Picha huongea, zaidi ya maneno,
Zaidi ya hisia, kwa lugha ya siri,
Sio kila mtu huweza kusikia,
Lakini kwa wachache, picha nazo zaongea.

Nisome hapa between the lines:
 
Tapeli Lucas mwashambwa unaitwa huku!
Serikali imebeba wajibu wakuyoa Elimu bure kwa watoto wote wa kitanzania.Wajibu wa wazazi wote ni kuhakikisha kuwa watoto au wanafunzi wanapata sare za shule.huo ni wajibu wa mzazi ambao haukwepeki. Ni jukumu la mzazi kufanya kazi kwa bidii na juhudi kuhakikisha kuwa anatimiza mahaitaji ya mtoto wake.

Lakini pia ni jambo jema na la busara kwa mzazi kama hana uwezo wa kubudt watoto wake kwa kuwapatia sare ,basi ni bora apange uzazi wa mpango wa idadi ya watoto atakao kuwa na uwezo wa kuwahudumia huduma mbalimbali na mahitaji mbalimbali ya msingi kama vile sare za shule, chakula,mavazi binafsi n.k. kazi ya serikali ni kuweka mazingira wezeshi na rafiki yenye kutoa fursa ili kila mtu atumie fursa zinazopatikana katika kujipatia kipato cha kuendeshea maisha yake.
 
Enzi zetu wakati Mungai akiwa waziri wa elimu tulikuwa tunapewa sare za shule,rula,ugali na madaftari bure.

Hili suala l kupewa vifaa vya shule ikiwemo sare lilikuwa linaleta hamasa kubwa sana shuleni ikiwa ni pamoja na kuchangia au kuongezeka kwa mahudhurio kwa wanafunzi shuleni.

Naamini hivi vitu hata sasa vinawezekana ila viongozi waliopewa dhamana na wananchi wakiacha ubinafsi.
 
Taiizo nini, naona picha mbili tofauti?
Kuna sehemu kuna changamoto
Ya kujenga darasa,vyoo kutatua tatizo
Hilo linahitaji labda..mln 100
Msafara wa viongozi wanaoenda kuangalia changamoto hizo huko
Wanaenda team ya watu+magari 10
Kila gari 1 thamani yake ni mln 350

Ova
 
Back
Top Bottom