Picha: Zaidi ya Maneno, zaidi ya Hisia. Je, unaushauri gani?

Nchi ya hovyo sana hii, Uingereza ambayo inawapa misaada waziri mkuu anatumia saloon car na bado anabanana humo na wasaidizi wake..........lakini bongolala mheshimiwa anatembeza kiwanda barabarani peke yake na dereva.​
Utawakuta wanaenda kuangalia mradi wa mln 50 wanaenda team ya watu 30 na magari ya thamani

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…