MLUGURU
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 2,929
- 3,710
Hii ndio Tanzania tuitakayo....matumizi sahihi ya kodi za wananchi,Heko Magufuli Mungu akubariki sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio instincts, ni wivu tu na wishes zako. Na venye unajiita kigogoSijui kwanini instincts zangu zinaniambia kuna ajali itatokea siku chache tu baada ya operations kuanza [emoji848]
Asante.
Niliwahi kusema humu mradi huu Magu akifanikiwa nitahama nchi sasa sijui nifanyaje kwa aibu?,tabia ya kupingapinga kila kitu naiacha kuanzia leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akuna jambo linalo wapaaga nguvu wana nchi kama pale wanapo jumuishwa kwenye shuguli za maendeleo huongeza hari ya ulipaji kodi!Vitu hivi ni haki yetu sababu tunalipa Kodi ,
Sema CCM wanataka kufanyia Kampeni sababu uchaguzi ndiyo uko jirani.
Maana ndio mradi utakao gusa maisha ya wengi watupe mrejesho!Tunataka kuona Rufiji hydropower imefika wapi, hizi porojo za SGR tumeshazichoka, kumaliza hammalizi, mnatafutia point hapo hapo kila siku bhana..
Niwe na wivu kwa failures za serikali hii? 😂😂😂😂 NeverSio instincts, ni wivu tu na wishes zako. Na venye unajiita kigogo
Sent using Jamii Forums mobile app
hii habari ya upana, urefu, nk siyo news - tunaijua tayari... it's Google material.Ahsante. Ifahamike kwamba reli ya TAZARA Si SGR kwa maana, si ya kimataifa bali ni Cape Gauge, reli yenye upana wa 1067mm (Mita 1.067) ambayo ni maarufu zaidi nchini Afrika Kusini. Reli ya SGR ina upana wa 1435 mm (Mita 1.435), hivyo reli ya SGR ni pana na inatumika Kimataifa takribani 55% ya mataifa duniani yanatumia reli ya upana huo.
[emoji122][emoji122][emoji122]Tumpe miaka mingine mitano amalizie na ile ya Dar _Moshi _Arusha Aunganishe nguvu na wa Kenya mpaka NairobiPicha hizi zinaonesha Maendeleo ya Ujenzi wa Stesheni za Dar es Salaam, Pugu na Soga. Katika kipande cha kwanza cha Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR ambao utakuwa na jumla ya Stesheni Sita ikiwemo Stesheni kuu mbili ambazo ni Dar es Salaam na Morogoro huku Stesheni ndogo (za kati) zikiwa ni Pugu, Soga, Ruvu na Ngerengere. Wastani wa Jumla wa Maendeleo ya Mradi Dar es Salaam - Morogoro ni zaidi ya 73%
View attachment 1363738
Jengo la Stesheni ya Reli ya Kisasa ya Dar es Salaam likiwa limeanza kuwekwa vioo.
Jengo la Stesheni ya Dar es Salaam limejengwa kwa muonekano wa Madini ya Tanzanite ambayo upatikanaji wake ni adimu, madini haya hupatikana Tanzania pekee.
View attachment 1363739View attachment 1363741
Muonekano wa Jengo la Stesheni ya Reli ya Kisasa ya Pugu, ambayo ujenzi wake umefika 80%
View attachment 1363743
Moja kati ya Vituo vya kupokea, kupoza na kusambaza umeme utakaoendesha treni za Umeme eneo la Mpiji, kikiwa katika hatua za mwisho kuweza kukamilika.View attachment 1363745View attachment 1363747View attachment 1363749View attachment 1363750View attachment 1363751View attachment 1363752View attachment 1363753
PICHA; Muonekano tofauti wa Stesheni ya Pugu ambayo ujenzi wake umekamilika kwa 90%.
Majengo ya Stesheni za Pugu, Soga, Ruvu, Ngerengere ni ya kufanana yakiwa yamejengwa kiusanifu kuakisi Vazi la Kilemba ambalo ni maarufu kwa wanawake hapa Tanzania.
we sifia utembee. Unataka kila mtu afanane na akili yakoKazi nzuri.
Kuna watu watakuja kupinga tu.
Una wivu na success za serikali, mkiona failures huwaga mnashangalia.Niwe na wivu kwa failures za serikali hii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Never
kingine ambacho wananchi tunahitaji kujua ni kilichoisibu hii ratiba yenu hapa chini....Picha hizi zinaonesha Maendeleo ya Ujenzi wa Stesheni za Dar es Salaam, Pugu na Soga. Katika kipande cha kwanza cha Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR ambao utakuwa na jumla ya Stesheni Sita ikiwemo Stesheni kuu mbili ambazo ni Dar es Salaam na Morogoro huku Stesheni ndogo (za kati) zikiwa ni Pugu, Soga, Ruvu na Ngerengere. Wastani wa Jumla wa Maendeleo ya Mradi Dar es Salaam - Morogoro ni zaidi ya 73%
View attachment 1363738
Jengo la Stesheni ya Reli ya Kisasa ya Dar es Salaam likiwa limeanza kuwekwa vioo.
Jengo la Stesheni ya Dar es Salaam limejengwa kwa muonekano wa Madini ya Tanzanite ambayo upatikanaji wake ni adimu, madini haya hupatikana Tanzania pekee.
View attachment 1363739View attachment 1363741
Muonekano wa Jengo la Stesheni ya Reli ya Kisasa ya Pugu, ambayo ujenzi wake umefika 80%
View attachment 1363743
Moja kati ya Vituo vya kupokea, kupoza na kusambaza umeme utakaoendesha treni za Umeme eneo la Mpiji, kikiwa katika hatua za mwisho kuweza kukamilika.View attachment 1363745View attachment 1363747View attachment 1363749View attachment 1363750View attachment 1363751View attachment 1363752View attachment 1363753
PICHA; Muonekano tofauti wa Stesheni ya Pugu ambayo ujenzi wake umekamilika kwa 90%.
Majengo ya Stesheni za Pugu, Soga, Ruvu, Ngerengere ni ya kufanana yakiwa yamejengwa kiusanifu kuakisi Vazi la Kilemba ambalo ni maarufu kwa wanawake hapa Tanzania.
tindo na kaka Yangu mwenye jina gumu sijui anaitwa @ercryrote wanadai eti huo mradi ni White Elephant
Ngoja wanakuja kupinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunduma to kapiri mposhi ni pafupi kuliko Dar Tunduma,Zambia watadai pesa nyingi sana ya fidiaM-mbabe, Tazara inakufa kwa sababu inaendeshwa na nchi mbili, na hilo lilikuwa kosa toka mwanzo, na nadhani hizi nchi mbili zimejikuta zikiwa na mawazo tofauti kuhusu uendeshaji wa tazara.
Ili tazara ifanikiwe, kwa mawazo yangu, inatakiwa kila nchi ibaki kumanage kipande chake, tukifanya hivyo tunaweza kuwa na bonge la dry port tunduma na wakongo, wazambia wamalawi wkaja kuchukulia mizigo yao hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio uhame kwanza.Niliwahi kusema humu mradi huu Magu akifanikiwa nitahama nchi sasa sijui nifanyaje kwa aibu?,tabia ya kupingapinga kila kitu naiacha kuanzia leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado sababu ya magu kushindwa unayo maana ukiangalia garama za mradi kwa mwekezaji mpya na yule wa JK ni tofauti sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ilikufa kwa sababu ya utawala wa Mkapa na Kikwete kujiingiza kwwnye biashara za malori, miaka ya 90 trc walikuwa wanafanya vizuri sana, lakini baada ya mkapa kuingia akaanza kuiua taratibu na sera zake za ubinafsishaji, kikwete akaendelea kuiua kabisa kwa biashara ya malori, kwa hiyo naweza kusema ni sera mbovu za awamu ya tatu na nne,na sio reli ya moshi tu, hata hiyo ya kati ilikuwa haifanyi kazi vizuri, huyu mwamba ndio amekuja kuifufua, worry yanfu ni awamu ya 6, kama itakuwa kama ya 3 na 4 basii hii investment yote ni bureReli ya Dar - Tanga - Moshi - Arusha nayo ilikufa kabisaaa for 25 years, je ilikuwa inaendeshwa na nchi mbili???