Picha zinatisha; Huu ni ugonjwa gani?

Pata picha ulikuwa unakula ukakakutana na hzo picha
 
Chaputa sikuachi daima kama mambo yapo hivi
 
hiyo k huo ugonjwa unaitwa genital wats ni matokeo ya fungus na uti sugu inatibika wahi hosp mapema..... pole
Genital warts..huwa si fungal infection.
It caused by human papilloma viruses
 
Acheni ngono zembe. Mnatupa madaktari kazi kubwa. Apitie kwa umakini then aje na comment njia gani inayofaa. By Dr. Ngada.
 
Jamani hii mada imeingiliwa na watu wa tiss. Kuweni makini. Nilicyoweka picha nikakuta sms ifuatayo kutoka namba. Ikiandika sender name Info: namba yenyewe ni 4636. Nimestuka.
 
Mungu wangu, nmesisimka mwili mzma, hyo mwanamke ana genital warts alafu mpaka zinafkia hio stage alikua wap kwenda Hospital?

Alikuwa anasubiri hadi huo ' Ukuta ' wa Berlin unaoonekana hapo ujengeke vizuri.
 
Madaktari wa JF mnatuchanganya wajameni...

Sijui nani hapo anasema ukweli??

Hapo utakuta wa Kwanza kasoma Muhimbili, wa Pili IMTU na huyo wa Tatu kwa Kairuki sasa kazi Kwako ' kujiongeza ' Mkuu.
 
Duh mmenikata stimu kabisa sipigi tena goma hapa...labda asubuh
 

Kwahiyo waende mbali na Watu kwakuwa baada ya kuchomwa hiyo Sindano ndiyo atakuwa ' Kichaa ' kwa muda au?
 
duuuh! juzi tu nimetoka kusoma hii kitu leo nakutana nayo tena humu ndani [emoji32] , huu ugonjwa ni hatari sana jamani tena ni hatari mno kwa wanaopenda 0713
 
Naona huu ni ugonjwa wa nyani jike! Kundu jekunduuu! Pole muhathirika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…