miss_blossom
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,607
- 2,150
[emoji124]Mh...[emoji854]
Hiyo Papuchi ilivyoharibika haitamaniki, hata Kama ndo unaambiwa ni Papuchi ya Malkia hiyo, inahitaji Dushe then utapewa 5% ya sehemu ya Utajiri wa UK, ntamwammbia Malkia, I'm sorry!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Alikuwa anasubiri hadi huo ' Ukuta ' wa Berlin unaoonekana hapo ujengeke vizuri.
Atoe mara moja alaaaMkuu hiyo ' Avatar ' yako inatukinaisha tafadhali.
Hahahahaaa... mkuu umenivunja mbavu... dah!Hapo utakuta wa Kwanza kasoma Muhimbili, wa Pili IMTU na huyo wa Tatu kwa Kairuki sasa kazi Kwako ' kujiongeza ' Mkuu.
Cryotherapy ndio nin mkuuHuo ni ugonjwa wa zinaa either ni condyloma accuminata(caused by HPV virus) or condyloma lata as manifestation of syphilis. So ukifanya examination utaweza kutofautisha or ukofanya RPR for syphilis.. Zote aina mbili zinaambukizwa through sexual intercourse. Na tiba mostly wanafanya cryotherapy
Mkuu, ina maana hizo nyeti zote bado zitakuja kutumika tena kwa matumizi yake ya kawaida? Kweli? Duh......[emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86]1. syphilis
2.genital warts
lakin kwa iyo sphilis ipo kwenye stage mbaya ni kiwai hospital na kwa upande wa genital wart inatibika vizur tu.
muhusika fanya ustaarabu wa kuwahi hospital usione aibu ayo ni magonjwa yakawaida kama magonjwa mengine.
Unajua tena pengine alikuwa anaona aibu teh!Mungu wangu, nmesisimka mwili mzma, hyo mwanamke ana genital warts alafu mpaka zinafkia hio stage alikua wap kwenda Hospital?
Mkuu hivi lile dawa zito kama asali likiingia matakoni si unakufa kabisa[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Sasa wewe mwanaume; unamfaham afisa mifugo yeyote kichaa? Mwendee ndiye dakitari wa hii kitu. Ila aamue muende mbali na watu. Akudunge ml.5/10kg BW za broad spectrum antibact. ulale hapo hapo masaa 4-6. Ukitoka hapo. Kidume kama kazi. Huko hosp ni uongo tu. Kitu itakatika hiyo. Pole zako
hiyo k huo ugonjwa unaitwa genital wats ni matokeo ya fungus na uti sugu inatibika wahi hosp mapema..... pole
Mmmh!! Am an addict,,,, ila ntajaribu kuachandy uache sasa alaaa
Aibu gan wakt ndo ushaugua, mficha uchi hazaiUnajua tena pengine alikuwa anaona aibu teh!
Soma maelezo ya mzee wa ngada. Watz ni wavivu wa kusoma.Cryotherapy ndio nin mkuu
endapo atachukua hatua ya kwenda hospitali atapona vizuri tu, ingawa kuna kaugumu kidogo kwenye iyo syphilisMkuu, ina maana hizo nyeti zote bado zitakuja kutumika tena kwa matumizi yake ya kawaida? Kweli? Duh......[emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86]
Yeah.. Unatibika wanafanya cryotherapy.. Kwa kiswahil inaitwa tiba mgandoJe unatibika ?
Cryotherapy inaitwa tiba mgando kwa kiswahil. wanatumia liquid nitrogen or liquid carbon dioxide ku freez izo wartsCryotherapy ndio nin mkuu
Ndiyo mkuu.Unamjua mdudu genye?
huyu dogo hana adabuUngekuwa unanifahamu vizuri, naamini ungeanza kwanza na kunipa heshima stahili kama wanayonipa wajukuu zangu wengine. Nimeshazoea kuamkiwa "shikamoo babu".
Kama una nidhamu, najua utanitaka radhi kuniita mtoto.
Kuna dawa fulani kama mafuta hivi huwa wanatumia mahosp kuvichoma inauma balaa ataita majina yote mwee mwee heri kuoa au kuolewa kuliko kuaka tamaahiyo k huo ugonjwa unaitwa genital wats ni matokeo ya fungus na uti sugu inatibika wahi hosp mapema..... pole