Picha zinatisha: Maasai watwangana na jamii ya Kipsigis Narok nchini Kenya, wanne wapoteza maisha

Picha zinatisha: Maasai watwangana na jamii ya Kipsigis Narok nchini Kenya, wanne wapoteza maisha

Hivi UK upigwa mshale damu hazitoki?
Umeona huyo bodaboda hana tone la damu. Bado huyo mwenye mshale puani, hana damu pia
Inashangaza pia lazima hiyo mishale ina sumu sijui kwanini huyo jamaa aliyepigwa mshale wa usoni hakimbizwi hospital.
 
Aisee ni nini? Ni njaa ya Lockdown ama?
Yaani sio njaa ya lockdown, hapo Narok, hakuna mwenye haki ya kuishi, au kufanya shughuli yoyote kama sio maasai,wana chuki sana kwa makabila mengine hasa Kikuyu.ukienda shukeni, utakuta hata walimu wanakaa kulingana na kabila lao ndani ya staff! Hawa watu waone humu, ni nyoko sana, asikwambie mtu aise!
 
Kuna ile jamii ya wakenya inayopakana na Uganda ambayo watu wanachunga mifugo na AK-47 begani ndo inafaa kutibuana na hao wamasai.

Wamasai wafugaji ni washenzi na siyo Kenya tu.
 
Yaani sio njaa ya lockdown, hapo Narok,hakuna mwenye haki ya kuishi,au kufanya shughuli yoyote kama sio maasai,wana chuki sana kwa makabila mengine hasa Kikuyu.ukienda shukeni,utakuta hata walimu wanakaa kulingana na kabila lao ndani ya staff!hawa watu waone humu,ni nyoko sana,asikwambie mtu aise!
Si ndo hawa huleta ng'ombe zao Loliondo, tukapiga mnada! Sasa hufuata nini Tanzania?
 
Morogoro huko Mvomero kila mwaka huwa tunakuwa na vita ya namna hiyo watu wakigombea ardhi hasa kipindi cha ukame.

Hebu Tz tuwe na akiba ya maneno juu ya hili, huo ushabiki mandazi baki nao hapo Lumumba.
Unapaswa kujua tofauti ya Moro na Kenya ni kwamba,Kenya hili tatizo mostly is triggered by tribalism,in TZ ,ni ukaidi tu wa wafugaji,so,ni rahisi kutatua TZ kuliko Kenya.
 
Yaani sio njaa ya lockdown, hapo Narok,hakuna mwenye haki ya kuishi,au kufanya shughuli yoyote kama sio maasai,wana chuki sana kwa makabila mengine hasa Kikuyu.ukienda shukeni,utakuta hata walimu wanakaa kulingana na kabila lao ndani ya staff!hawa watu waone humu,ni nyoko sana,asikwambie mtu aise!
Uko sahihi, hawa jamaa ni shida kwa ukabila. Kuna sehemu nilifanya nao kazi Mkikuyu alikuwa hawezi kukaa na Mjaluo. Mjaluo au Kikuyu alikuwa anaona ni bora kuwa na urafiki na Mtanzania kuliko kuwa na utafiki na Mkikuyu/Mjaluo.
 
Atwoli aangalie maana naskia anaishi Kajiado na si mmasai na ana mdomo kubwa ya kuongelea vibaya Jubilee!
 
Mbona hatoki damu sasa?

Hapo mpaka mshale uchomolewe ndio damu itatoka. Na mshale mara nyingi ni kuutolea hospitali maana ukiuvuta unaweza kukata mishipa maana mbele ule mchongoko upo kwa kuingia kwenye nyama sio kutoka. Mpaka oparesheni ndio wanatoa. Na kama ina sumu ndio balaa zaidi maana nyama/mwili unaoza.
 
Vita hivi ni kati ya wafugaji wamaasai na jamii ya kikalenjin, wakipsigis, ambao shughuli yao kuu huwa ni kulima. Kisa wizi wa ng'ombe, sio siasa wala ukabila ni jambo la kukemewa sio kukuzwa. Vurugu kama hizi zinazoletwa na wafugaji ni jambo la kawaida hapa Afrika, sio Kenya tu. Ila wakipsigis nao na mishale yao ni watu hatari mno.

Natumai wazee wa jamii hawataingoja serikali itulize vurugu hizi bila kuchukua hatua zao za kurudisha amani. Maanake jamii zote mbili zina utamaduni wa vijana ambao huwa wakitoka jandoni na kuitwa morani huwa wanajiona madume kweli. Tapala iyie doi olchore lai noo Narok, amuu Enkai ninye kerii olsupati.
 
Hapo mpaka mshale uchomolewe ndio damu itatoka. Na mshale mara nyingi ni kuutolea hospitali maana ukiuvuta unaweza kukata mishipa maana mbele ule mchongoko upo kwa kuingia kwenye nyama sio kutoka. Mpaka oparesheni ndio wanatoa. Na kama ina sumu ndio balaa zaidi maana nyama/mwili unaoza.
Halafu ni ina sumu si umeskia yule askari anasema atapita kila nyumba kuwanyang'anya!
 
Back
Top Bottom