Sauti ya Mamlaka
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,601
- 2,354
Hiz vta sio pwMgogoro wa mifugo umeleta mapigano ya jamii hizi mbili zenye uhasama wa muda mrefu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiz vta sio pwMgogoro wa mifugo umeleta mapigano ya jamii hizi mbili zenye uhasama wa muda mrefu.
Hili suala ni siasa kama unafuatilia siasa za Kenya utajua aina ya siasa za Wakalenjin zinaenda vp! Inahusiana na mpasuko ndani ya Jubilee kati ya Ruto na Uhuru!Haya sio yakufurahia hata kidogo tatizo linaletwa na serikali haiangalii migogoro kama hii kwa jicho la tatu unaweza kukuta pengine hili jambo wamelipeka kwenye mamlaka husika wao wakafanya mzaha matokeo ndo haya dah so sad Allah awaponye majeraha yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Guruwe ni nini ?Kamanda kawape chakula guruwe