Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe umeishi Narok?Yaani sio njaa ya lockdown, hapo Narok,hakuna mwenye haki ya kuishi,au kufanya shughuli yoyote kama sio maasai,wana chuki sana kwa makabila mengine hasa Kikuyu.ukienda shukeni,utakuta hata walimu wanakaa kulingana na kabila lao ndani ya staff!hawa watu waone humu,ni nyoko sana,asikwambie mtu aise!
Hao ni wapokot na waturkana. Hizo kabila mbili hata saa zingine huwa zinauwa polisi inabidi watumiwe jeshi la ardhini na angani ili wapimane nguvu. Hao ni wanaume kamiliKuna ile jamii ya wakenya inayopakana na Uganda ambayo watu wanachunga na AK 47 begani ndo inafaa kutibuana na hao wamasai.
Wamasai wafugaji ni washenzi na siyo Kenya tu.
Hawana tofauti na TanzaniaKenya hakuna serikali kila raia anajiamulia kufanya jambo analolitaka
Unakoroga kikuyu, kimaasai, kiswahili sanifu na kingereza. Boss wewe ni bingwa.Vita hivi ni kati ya wafugaji wamaasai na jamii ya kikalenjin, wakipsigis, ambao shughuli yao kuu huwa ni kulima. Kisa wizi wa ng'ombe, sio siasa wala ukabila ni jambo la kukemewa sio kukuzwa. Vurugu kama hizi zinazoletwa na wafugaji ni jambo la kawaida hapa Afrika, sio Kenya tu. Ila wakipsigis nao na mishale yao ni watu hatari mno.
Natumai wazee wa jamii hawataingoja serikali itulize vurugu hizi bila kuchukua hatua zao za kurudisha amani. Maanake jamii zote mbili zina utamaduni wa vijana ambao huwa wakitoka jandoni na kuitwa morani huwa wanajiona madume kweli. Tapala iyie doi olchore noo Narok, amuu Enkaiyai ene olsupati.
Dah! "Mungu ibariki Tanzania"Yaani sio njaa ya lockdown, hapo Narok,hakuna mwenye haki ya kuishi,au kufanya shughuli yoyote kama sio maasai,wana chuki sana kwa makabila mengine hasa Kikuyu.ukienda shukeni,utakuta hata walimu wanakaa kulingana na kabila lao ndani ya staff!hawa watu waone humu,ni nyoko sana,asikwambie mtu aise!
Tutajie hzo shuleYaani sio njaa ya lockdown, hapo Narok, hakuna mwenye haki ya kuishi, au kufanya shughuli yoyote kama sio maasai,wana chuki sana kwa makabila mengine hasa Kikuyu.ukienda shukeni, utakuta hata walimu wanakaa kulingana na kabila lao ndani ya staff! Hawa watu waone humu, ni nyoko sana, asikwambie mtu aise!
Bwahaha!!km ccm ilivyokudanganya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamaa hawana ethics ya Undugu na Umoja.
Yaani ni ukabila na roho mbaya zimewajaa
Hao ni wapokot na waturkana. Hizo kabila mbili hata saa zingine huwa zinauwa polisi inabidi watumiwe jeshi la ardhini na angani ili wapimane nguvu. Hao ni wanaume kamili
Hawana tofauti na Tanzania
Ukabila!
yaani unasifia wapuuzi kuharibu amani ya nchi!!!!Hao ni wapokot na waturkana. Hizo kabila mbili hata saa zingine huwa zinauwa polisi inabidi watumiwe jeshi la ardhini na angani ili wapimane nguvu. Hao ni wanaume kamili
Asha oleng'Vita hivi ni kati ya wafugaji wamaasai na jamii ya kikalenjin, wakipsigis, ambao shughuli yao kuu huwa ni kulima. Kisa wizi wa ng'ombe, sio siasa wala ukabila ni jambo la kukemewa sio kukuzwa. Vurugu kama hizi zinazoletwa na wafugaji ni jambo la kawaida hapa Afrika, sio Kenya tu. Ila wakipsigis nao na mishale yao ni watu hatari mno.
Natumai wazee wa jamii hawataingoja serikali itulize vurugu hizi bila kuchukua hatua zao za kurudisha amani. Maanake jamii zote mbili zina utamaduni wa vijana ambao huwa wakitoka jandoni na kuitwa morani huwa wanajiona madume kweli. Tapala iyie doi olchore lai noo Narok, amuu Enkai ninye kerii olsupati.
Mbona freshi tuuuuuuBora mshale zingekuwa risasi wafu wangeongezeka, ila huyo bodaboda hawajamfanyia poa.