Picture remake(Wakati huo na sasa)

Picture remake(Wakati huo na sasa)

Kali ya zote!![emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
Mwamba kapiga na diaper yake
 
Licha ya kutunza wako mbali sana
Yeah ni kweli ukiangalia picha za 1800 huko wakati sie tunatembea vitumbo wazi na kengele zinaning'inia wao walikua wako mbali sana pia
 
Yeah ni kweli ukiangalia picha za 1800 huko wakati sie tunatembea vitumbo wazi na kengele zinaning'inia wao walikua wako mbali sana pia
Nimeshangaa Oxford 1800 na sasa ni vile vile,hivi ulaya kuna vijiji kweli?
 
Nje ya Mada:

Umenikumbusha habari Fulani ya huyu mzee aliyekua anakufa(Akiwa na miaka 87) last wish yake ilikua kunywa via na wanae kabla hajachomolewa mashine. Na waliitekeleza. Wakapiga na picha akapumzika na smile kubwa sanaView attachment 1805188
Hakuna kusudio kubwa tuliloletwa duniani kwayo, zaidi ya kuacha vizazi vyako vikiishi kwa furaha na upendo. Uache kumbukumbu. Wabongo wengi hatuweki rekodi sahihi ya kumbukumbu zetu

Au kuna picha kama hizi pia ukiziangalia kiundani huwa zina ujumbe mkubwa sana(Mie ni mpenzi wa picha sana)
View attachment 1805191
Nikipata muda ntaanzishia Uzi wake na zenyewe. Hapo ni picha ya vizazi vinne kutoka kitukuu[emoji7][emoji7]

Watoto wa kizungu miili yao ni tofauti sana na vitoto vyetu. Hako katoto kamevalishwa very simple sasa fanya hivyo kwetu asipopata pneumonia
 
Screenshot_20210602-143547.png
Hiroshima,Japan(Atomic bomb site,75 years difference)
 
Back
Top Bottom