3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,350
- 15,426
Hicho kingine bado kitakuwa kimesababishwa na pombeMbona mmekazania ni pombe? Hawezi umwa kitu kingine tofauti kabisa?[emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho kingine bado kitakuwa kimesababishwa na pombeMbona mmekazania ni pombe? Hawezi umwa kitu kingine tofauti kabisa?[emoji848]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] haya bhana mie akaaa sina nenoKwani unataka ukafe na figo zako nzima ili ukazifanyie nini huko uendako?
#Maneno ya kwny T-shirt hayo
Wakuu, kuna siku niliona mtu ameuliza hapa mahali alipo mchekeshaji maarufu aliyejipatia umaarufu wake kupitia mitandao ya kijamii, Pierre Liquid. Aisee huyu jamaa amelazwa Hospitali ya Muhimbili Mwaisela wodi namba 6 iko ghorofa ya pili.
Haijafahamika mpaka sasa mwama huyo wa kuzipiga Pombe na vichekesho anasumbuliwa na ugonjwa gani ingawa wodi aliyolazwa ni ya wagonjwa wenye matatizo ya mfumo wa upumuaji, magonjwa yanayohusu moyo na kifua kiujumla. Muda mwingi msanii huyo ameonekana akiwa amelala.
Haijafahamika mpaka sasa mwama huyo wa kuzipiga Pombe na vichekesho anasumbuliwa na ugonjwa gani ingawa wodi aliyolazwa ni ya wagonjwa wenye matatizo ya mfumo wa upumuaji, magonjwa yanayohusu moyo na kifua kiujumla. Muda mwingi msanii huyo ameonekana akiwa amelala.
Wanasahau hata sisi tusiokunywa pombe hua pia tunaugua, tunalazwa na tunakufa vile vile.. Japo siungi mkono ulevi.Mbona mmekazania ni pombe? Hawezi umwa kitu kingine tofauti kabisa?[emoji848]
Shangaa na wewe...Mbona mmekazania ni pombe? Hawezi umwa kitu kingine tofauti kabisa?[emoji848]
Sisi ni waleviii[emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji443][emoji443]"Furahaa ni Kulewa na Marafiki"
Yupo Muhimbili hana wa kumtolea Figo
#Ni Meme hiyo
Kwaiyo magojwa ni Kwa watu wanaokunywa Pombe pekeeHicho kingine bado kitakuwa kimesababishwa na pombe
Ukimwi unaua!"Furahaa ni Kulewa na Marafiki"
Yupo Muhimbili hana wa kumtolea Figo
#Ni Meme hiyo
Wabongo kwa kuhukumu, hatujambo!Mbona mmekazania ni pombe? Hawezi umwa kitu kingine tofauti kabisa?[emoji848]
Una uhakika anadaiwa figo"Furahaa ni Kulewa na Marafiki"
Yupo Muhimbili hana wa kumtolea Figo
#Ni Meme hiyo
Unajua maana ya Meme???Una uhakika anadaiwa figo