Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui mkuu si unajua umri umetembeaUnajua maana ya Meme???
sisi ni walevi"Furahaa ni Kulewa na Marafiki"
Yupo Muhimbili hana wa kumtolea Figo
#Ni Meme hiyo
Wakuu, kuna siku niliona mtu ameuliza hapa mahali alipo mchekeshaji maarufu aliyejipatia umaarufu wake kupitia mitandao ya kijamii, Pierre Liquid. Aisee huyu jamaa amelazwa Hospitali ya Muhimbili Mwaisela wodi namba 6 iko ghorofa ya pili.
Haijafahamika mpaka sasa mwama huyo wa kuzipiga Pombe na vichekesho anasumbuliwa na ugonjwa gani ingawa wodi aliyolazwa ni ya wagonjwa wenye matatizo ya mfumo wa upumuaji, magonjwa yanayohusu moyo na kifua kiujumla. Muda mwingi msanii huyo ameonekana akiwa amelala.
Umeongea kwa hisia na uchungu sana dada!! 😃😃Mbona mmekazania ni pombe? Hawezi umwa kitu kingine tofauti kabisa?[emoji848]
Hi, naomba unichek pm tafadhaliMbona mmekazania ni pombe? Hawezi umwa kitu kingine tofauti kabisa?[emoji848]
No mi nimeshangaa sana hawa binadamu hata sio hisia[emoji848]Umeongea kwa hisia na uchungu sana dada!! [emoji2][emoji2]
Una ishu best? Njoo tuHi, naomba unichek pm tafadhali
Yani utadhani wasiotumia vilevi hawauguiMbona mmekazania ni pombe? Hawezi umwa kitu kingine tofauti kabisa?[emoji848]
Kwa nini wasanii wanaoimba nyimbo kama za dokta shika huwa wanakufa kufaWabongo bhana , "Eti msanii huyo" toka lini piere akawa msanii 😃😃
Kumbe walisema kweli[emoji23]"Furahaa ni Kulewa na Marafiki"
Yupo Muhimbili hana wa kumtolea Figo
#Ni Meme hiyo
Hapendwi mtu linapendwa pochiHuu ndiyo wakati wa brewers ku-show love
Kwamba, wanahusisha soda ya baba, na mambo mengine kabisa?No mi nimeshangaa sana hawa binadamu hata sio hisia[emoji848]