Tetesi: Pierre Liquid amelazwa Muhimbili yuko hoi kitandani


Maini kwisha habari yake alifikiri pombe kali ni chai?
 
Mbona mmekazania ni pombe? Hawezi umwa kitu kingine tofauti kabisa?[emoji848]
Wabongo kwa kuhukumu, hatujambo!

Watu wanavyo tiririka, unaweza kudhani labda huyo Pierre wa watu anaumwa maradhi yaliyo sababishwa na unywaji pombe kupita kiasi! Kumbe wanapiga tu ramli.
 
Dr. .

Asante kwa taarifa kilekimo na unywaji ule halali mfumo uzidiwe

Kitaalam uzito uendane na kimo

Na unywaji hivohivo

Mungu amsaidie apone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…