SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Kama wewe ulivyowekwa kinyumba na mwanaume mwenzakoYule ni kichaa afu kaolewa na demu mwenzake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wewe ulivyowekwa kinyumba na mwanaume mwenzakoYule ni kichaa afu kaolewa na demu mwenzake
Exposure aliykuwa nayo ni zaidi ya ma degree holder tumeliona hilo kwenye kujenga hoja sasa piere hata kuongea tu shida,
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Hiyo masters aliipataje huku alipata zero form 6, au alianza form I tena???Mwana FA usimweke kwenye hilo kapu ana masters of Business Administration (not sure if it’s MBA) ila ana masters. Siyo masters degree ya online he physically attended Coventry University.
Pierre Liquid anaingia bungeni kutetea haki ya wanywaji na punguzo la kodi kwenye vinywaji.
Toka wanaojiita walokole wanaosimamia bei na taratibu za kuuza kilevi wamejikuta wamepungukiwa mapato ya serikali yatokanayo na ulevi kwa sababu ya kodi kubwa na masharti ya kuuza vileo.
Liquid anataka kulinda mywaji.
Mwana FA mtoe hapo amesoma vizuri kijana, ingawa siungi mkono kugombea kwake.Ha ha ha hakika sasa ubunge umekuwa kama u monitor wa darasa la 3A ,sasa piere anawekwenda bungeni kugawa vinywaji au kuwa mtunga sera na sheria za nchii hii?
“Mimi natangaza nia ya kwenda kugombea Jimbo la Iringa Mjini. Mimi kule ndio maeneo ya kwetu kule ndiko alikozaliwa mama, Mchungaji Msigwa anatoka pale,”- Piere Liquid
Ndio maana kuna uzi nilisema ni rahisi sana kuwa mbunge kuliko kuwa mfagiaji wa bunge (angalau mfagiaji anatakiwa kuwa na cheti cha form four,awe na certificate of cleaning and maintenance)bila kusahau ajue lugha zote mbili kwa ufasaha
Pata picha mbunge lina
Harmonize
Piere liquid
Steve Nyerere
Kingwendu
Shilole
Irene Uwoya
Mwana FA
Hatarii hii lazima meza za bunge zipasuke kwa makofi.....mungu atupe uhai tufike Oktoba.
Ha ha ha hakika sasa ubunge umekuwa kama u monitor wa darasa la 3A ,sasa piere anawekwenda bungeni kugawa vinywaji au kuwa mtunga sera na sheria za nchii hii?
“Mimi natangaza nia ya kwenda kugombea Jimbo la Iringa Mjini. Mimi kule ndio maeneo ya kwetu kule ndiko alikozaliwa mama, Mchungaji Msigwa anatoka pale,”- Piere Liquid
Ndio maana kuna uzi nilisema ni rahisi sana kuwa mbunge kuliko kuwa mfagiaji wa bunge (angalau mfagiaji anatakiwa kuwa na cheti cha form four,awe na certificate of cleaning and maintenance)bila kusahau ajue lugha zote mbili kwa ufasaha
Pata picha mbunge lina
Harmonize
Piere liquid
Steve Nyerere
Kingwendu
Shilole
Irene Uwoya
Mwana FA
Hatarii hii lazima meza za bunge zipasuke kwa makofi.....mungu atupe uhai tufike Oktoba.
Kajinga ako ka bushuti[emoji3]Ha ha ha hakika sasa ubunge umekuwa kama u monitor wa darasa la 3A ,sasa piere anawekwenda bungeni kugawa vinywaji au kuwa mtunga sera na sheria za nchii hii?
“Mimi natangaza nia ya kwenda kugombea Jimbo la Iringa Mjini. Mimi kule ndio maeneo ya kwetu kule ndiko alikozaliwa mama, Mchungaji Msigwa anatoka pale,”- Piere Liquid
Ndio maana kuna uzi nilisema ni rahisi sana kuwa mbunge kuliko kuwa mfagiaji wa bunge (angalau mfagiaji anatakiwa kuwa na cheti cha form four,awe na certificate of cleaning and maintenance)bila kusahau ajue lugha zote mbili kwa ufasaha
Pata picha mbunge lina
Harmonize
Piere liquid
Steve Nyerere
Kingwendu
Shilole
Irene Uwoya
Mwana FA
Hatarii hii lazima meza za bunge zipasuke kwa makofi.....mungu atupe uhai tufike Oktoba.
Elimu yake ya Tanzania sijui hila sio siri kasoma Coventry University, watafute watanzania wanaoishi Midlands huko UK watakwambia.Hiyo masters aliipataje huku alipata zero form 6, au alianza form I tena???
kupata zero si neno, anaweza kuwa alianzia cheti, stashahada, shahada nakuendeleaHiyo masters aliipataje huku alipata zero form 6, au alianza form I tena???
MwanaFA umemweka group moja na Pierre!!!Ha ha ha hakika sasa ubunge umekuwa kama u monitor wa darasa la 3A ,sasa piere anawekwenda bungeni kugawa vinywaji au kuwa mtunga sera na sheria za nchii hii?
“Mimi natangaza nia ya kwenda kugombea Jimbo la Iringa Mjini. Mimi kule ndio maeneo ya kwetu kule ndiko alikozaliwa mama, Mchungaji Msigwa anatoka pale,”- Piere Liquid
Ndio maana kuna uzi nilisema ni rahisi sana kuwa mbunge kuliko kuwa mfagiaji wa bunge (angalau mfagiaji anatakiwa kuwa na cheti cha form four,awe na certificate of cleaning and maintenance)bila kusahau ajue lugha zote mbili kwa ufasaha
Pata picha mbunge lina
Harmonize
Piere liquid
Steve Nyerere
Kingwendu
Shilole
Irene Uwoya
Mwana FA
Hatarii hii lazima meza za bunge zipasuke kwa makofi.....mungu atupe uhai tufike Oktoba.
Ukijua tofauti ya formal na informal education ndipo utajua Sugu au Prof J wapo katika kundi gani.SUGU nae ana Elimu gani?
Hivi unajua mwanzo Bulaya alikuwa Mbunge wa CCM.Nipe tofauti ya bulaya na piere
Moja ya vitu ambavyo mbunge anapaswa kuwa navyo ni sifa ya uwezekano wa kuchaguliwa katika baraza la mawaziri. Kukosekana kuwa na sifa hizo ndani ya wabunge wa CCM kumemlazimisha Magufuli kuwarubuni wabunge wa upinzani kujiunga na CCM ili awateue katika nafasi za uwaziri.Kwani mbunge ana kazi gani inayowashinda hao akina Pierre?
Hope atagombea kwa tiketi ya ccm,vilaza boysHa ha ha hakika sasa ubunge umekuwa kama u monitor wa darasa la 3A ,sasa piere anawekwenda bungeni kugawa vinywaji au kuwa mtunga sera na sheria za nchii hii?
“Mimi natangaza nia ya kwenda kugombea Jimbo la Iringa Mjini. Mimi kule ndio maeneo ya kwetu kule ndiko alikozaliwa mama, Mchungaji Msigwa anatoka pale,”- Piere Liquid
Ndio maana kuna uzi nilisema ni rahisi sana kuwa mbunge kuliko kuwa mfagiaji wa bunge (angalau mfagiaji anatakiwa kuwa na cheti cha form four,awe na certificate of cleaning and maintenance)bila kusahau ajue lugha zote mbili kwa ufasaha
Pata picha mbunge lina
Harmonize
Piere liquid
Steve Nyerere
Kingwendu
Shilole
Irene Uwoya
Mwana FA
Hatarii hii lazima meza za bunge zipasuke kwa makofi.....mungu atupe uhai tufike Oktoba.
Hivi unajua mwanzo Bulaya alikuwa Mbunge wa CCM.
Exposure ni Zaidi ya Elimu...Ana kaandika kitafute...usimdisrepect kama hujamjua vizuri usifanye hilo kosa.SUGU nae ana Elimu gani?