Uchaguzi 2020 Pierre Liquid atangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Iringa Mjini, asema Msigwa anang'oka pale

Uchaguzi 2020 Pierre Liquid atangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Iringa Mjini, asema Msigwa anang'oka pale

Ubwabwa wa mawe
Ha ha ha hakika sasa ubunge umekuwa kama u monitor wa darasa la 3A ,sasa piere anawekwenda bungeni kugawa vinywaji au kuwa mtunga sera na sheria za nchii hii?

“Mimi natangaza nia ya kwenda kugombea Jimbo la Iringa Mjini. Mimi kule ndio maeneo ya kwetu kule ndiko alikozaliwa mama, Mchungaji Msigwa anatoka pale,”- Piere Liquid


Ndio maana kuna uzi nilisema ni rahisi sana kuwa mbunge kuliko kuwa mfagiaji wa bunge (angalau mfagiaji anatakiwa kuwa na cheti cha form four,awe na certificate of cleaning and maintenance)bila kusahau ajue lugha zote mbili kwa ufasaha

Pata picha mbunge lina
Harmonize
Piere liquid
Steve Nyerere
Kingwendu
Shilole
Irene Uwoya
Mwana FA

Hatarii hii lazima meza za bunge zipasuke kwa makofi.....mungu atupe uhai tufike Oktoba.
 
😂😂😂 ikawe kheri kwake.
 
Moja ya vitu ambavyo mbunge anapaswa kuwa navyo ni sifa ya uwezekano wa kuchaguliwa katika baraza la mawaziri. Kukosekana kuwa na sifa hizo ndani ya wabunge wa CCM kumemlazimisha Magufuli kuwarubuni wabunge wa upinzani kujiunga na CCM ili awateue katika nafasi za uwaziri.
Ndo maana mh anakopa upinzani huko kwake kumejaa aina ya kibajaji na msukuma

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Katiba inasema ajue kusoma na kuandika. Hayo mengine labda unataka kunyima watu haki zao.
Je pale bungeni kazi zinazofanyika kwa akili yako zinahitaji kujua kusoma na kuandika tu??kutunga sera za maendeleo ya nchi,kuchambua vifungu vya sheria,midahalo kuhusu mambo yanayo gusa maslahi mapana ya nchi kama mikataba ya gesi na madini,kusoma na kuandika inatosha??

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Je pale bungeni kazi zinazofanyika kwa akili yako zinahitaji kujua kusoma na kuandika tu??kutunga sera za maendeleo ya nchi,kuchambua vifungu vya sheria,midahalo kuhusu mambo yanayo gusa maslahi mapana ya nchi kama mikataba ya gesi na madini,kusoma na kuandika inatosha??

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
[/QUOTE
Kwa hiyo unaipinga katiba?
 
Ha ha ha hakika sasa ubunge umekuwa kama u monitor wa darasa la 3A ,sasa piere anawekwenda bungeni kugawa vinywaji au kuwa mtunga sera na sheria za nchii hii?

“Mimi natangaza nia ya kwenda kugombea Jimbo la Iringa Mjini. Mimi kule ndio maeneo ya kwetu kule ndiko alikozaliwa mama, Mchungaji Msigwa anatoka pale,”- Piere Liquid


Ndio maana kuna uzi nilisema ni rahisi sana kuwa mbunge kuliko kuwa mfagiaji wa bunge (angalau mfagiaji anatakiwa kuwa na cheti cha form four,awe na certificate of cleaning and maintenance)bila kusahau ajue lugha zote mbili kwa ufasaha

Pata picha mbunge lina
Harmonize
Piere liquid
Steve Nyerere
Kingwendu
Shilole
Irene Uwoya
Mwana FA

Hatarii hii lazima meza za bunge zipasuke kwa makofi.....mungu atupe uhai tufike Oktoba.

Acha dharau mwana FA ni msomi mwenye masters usidhani kila msanii ni mbulula kama wewe,muzikk ni kazi kama zilivyo zingine
Kibajaji na msukuma darasa la 7 na wanawapelekesha sembuse hao
Watwsinwa nini?
 
Ha ha ha hakika sasa ubunge umekuwa kama u monitor wa darasa la 3A ,sasa piere anawekwenda bungeni kugawa vinywaji au kuwa mtunga sera na sheria za nchii hii?

“Mimi natangaza nia ya kwenda kugombea Jimbo la Iringa Mjini. Mimi kule ndio maeneo ya kwetu kule ndiko alikozaliwa mama, Mchungaji Msigwa anatoka pale,”- Piere Liquid


Ndio maana kuna uzi nilisema ni rahisi sana kuwa mbunge kuliko kuwa mfagiaji wa bunge (angalau mfagiaji anatakiwa kuwa na cheti cha form four,awe na certificate of cleaning and maintenance)bila kusahau ajue lugha zote mbili kwa ufasaha

Pata picha mbunge lina
Harmonize
Piere liquid
Steve Nyerere
Kingwendu
Shilole
Irene Uwoya
Mwana FA

Hatarii hii lazima meza za bunge zipasuke kwa makofi.....mungu atupe uhai tufike Oktoba.
Kwani wabunge waliopo wana maajabu gani?
Ubunge ni kazi ya kawaida sana, hata akipata Pierre anaiweza vizuri tu, kama Kibajaji ameweza Pierre atashindwa nini?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukijua tofauti ya formal na informal education ndipo utajua Sugu au Prof J wapo katika kundi gani.

Wanayoyasimamia leo wameanza kabla hata hawajawa na ndoto za kuja kuwa Wabunge,muulize babako akuhadithie.
Binti unajua mi nna umri gani? Muulize mmeo
 
Ha ha ha hakika sasa ubunge umekuwa kama u monitor wa darasa la 3A ,sasa piere anawekwenda bungeni kugawa vinywaji au kuwa mtunga sera na sheria za nchii hii?

“Mimi natangaza nia ya kwenda kugombea Jimbo la Iringa Mjini. Mimi kule ndio maeneo ya kwetu kule ndiko alikozaliwa mama, Mchungaji Msigwa anatoka pale,”- Piere Liquid


Ndio maana kuna uzi nilisema ni rahisi sana kuwa mbunge kuliko kuwa mfagiaji wa bunge (angalau mfagiaji anatakiwa kuwa na cheti cha form four,awe na certificate of cleaning and maintenance)bila kusahau ajue lugha zote mbili kwa ufasaha

Pata picha mbunge lina
Harmonize
Piere liquid
Steve Nyerere
Kingwendu
Shilole
Irene Uwoya
Mwana FA

Hatarii hii lazima meza za bunge zipasuke kwa makofi.....mungu atupe uhai tufike Oktoba.
Mbona Sugu na Prof J made it? Tatizo letu tunadhan kusoma ndio kila kitu
 
Nani aliekuambia maendeleo yanaletwa na mtu anaeongea kiingereza? Huo ni utumwa,
 
Ha ha ha hakika sasa ubunge umekuwa kama u monitor wa darasa la 3A ,sasa piere anawekwenda bungeni kugawa vinywaji au kuwa mtunga sera na sheria za nchii hii?

“Mimi natangaza nia ya kwenda kugombea Jimbo la Iringa Mjini. Mimi kule ndio maeneo ya kwetu kule ndiko alikozaliwa mama, Mchungaji Msigwa anatoka pale,”- Piere Liquid


Ndio maana kuna uzi nilisema ni rahisi sana kuwa mbunge kuliko kuwa mfagiaji wa bunge (angalau mfagiaji anatakiwa kuwa na cheti cha form four,awe na certificate of cleaning and maintenance)bila kusahau ajue lugha zote mbili kwa ufasaha

Pata picha mbunge lina
Harmonize
Piere liquid
Steve Nyerere
Kingwendu
Shilole
Irene Uwoya
Mwana FA

Hatarii hii lazima meza za bunge zipasuke kwa makofi.....mungu atupe uhai tufike Oktoba.
Mwana FA bloo angu huyu jamaa umemuweka bahati mbaya au umekusudia?

Sent from my itel W5001P using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom