Uchaguzi 2020 Pierre Liquid atangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Iringa Mjini, asema Msigwa anang'oka pale

🔥🔥🔥🔥bado mtu wa bongo fleva flan nasubiri atangaze nia
 
Mwana FA usimweke kwenye hilo kapu ana masters of Business Administration (not sure if it’s MBA) ila ana masters. Siyo masters degree ya online he physically attended Coventry University.
Hiyo masters aliipataje huku alipata zero form 6, au alianza form I tena???
 
😂😂😂😂😂😂 hi kali
 
Mwana FA mtoe hapo amesoma vizuri kijana, ingawa siungi mkono kugombea kwake.
 
Muongeze na Goodluck Milinga
 
Kajinga ako ka bushuti[emoji3]
 
MwanaFA umemweka group moja na Pierre!!!
Duh..
 
SUGU nae ana Elimu gani?
Ukijua tofauti ya formal na informal education ndipo utajua Sugu au Prof J wapo katika kundi gani.

Wanayoyasimamia leo wameanza kabla hata hawajawa na ndoto za kuja kuwa Wabunge,muulize babako akuhadithie.
 
Watu wanajisumbua tu... Ni rahisi kupata ubunge kupitia chama kingine kuliko CCM... Magufuli kaona wabunge wengi wanazingua tu... Wengi watatiwa cross... Kama kina Kangi Lugola.. Ndugulile.... Nchambi.. Mansoor... Na wengineo hawana uhakika.. ije kuwa hao wanyoa kiduku?
 
Kwani mbunge ana kazi gani inayowashinda hao akina Pierre?
Moja ya vitu ambavyo mbunge anapaswa kuwa navyo ni sifa ya uwezekano wa kuchaguliwa katika baraza la mawaziri. Kukosekana kuwa na sifa hizo ndani ya wabunge wa CCM kumemlazimisha Magufuli kuwarubuni wabunge wa upinzani kujiunga na CCM ili awateue katika nafasi za uwaziri.
 
Hope atagombea kwa tiketi ya ccm,vilaza boys
 
SUGU nae ana Elimu gani?
Exposure ni Zaidi ya Elimu...Ana kaandika kitafute...usimdisrepect kama hujamjua vizuri usifanye hilo kosa.
Mradi wa Malaria waliogombea na Marehemu Wazungu hawawezi mpa Pierre.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…