SankaraBoukaka
JF-Expert Member
- Jul 2, 2019
- 1,213
- 1,918
Labda mbunge was walevi wenzake sio wa jamuhuriKama sugu na bulaya wamekuwa wabunge sioni ajabu hao wakiwa wabunge
Mwana FA ni kichwa mkuu...Ha ha ha hakika sasa ubunge umekuwa kama u monitor wa darasa la 3A ,sasa piere anawekwenda bungeni kugawa vinywaji au kuwa mtunga sera na sheria za nchii hii?
“Mimi natangaza nia ya kwenda kugombea Jimbo la Iringa Mjini. Mimi kule ndio maeneo ya kwetu kule ndiko alikozaliwa mama, Mchungaji Msigwa anatoka pale,”- Piere Liquid
Ndio maana kuna uzi nilisema ni rahisi sana kuwa mbunge kuliko kuwa mfagiaji wa bunge (angalau mfagiaji anatakiwa kuwa na cheti cha form four,awe na certificate of cleaning and maintenance)bila kusahau ajue lugha zote mbili kwa ufasaha
Pata picha mbunge lina
Harmonize
Piere liquid
Steve Nyerere
Kingwendu
Shilole
Irene Uwoya
Mwana FA
Hatarii hii lazima meza za bunge zipasuke kwa makofi.....mungu atupe uhai tufike Oktoba.
Wanakuwa wabunge wa CCMKama sugu na bulaya wamekuwa wabunge sioni ajabu hao wakiwa wabunge
Hata yeye anayo haki,kila mtu anayo haki hata bia yetu anayo haki kwa ridhaa ya chama na wananchi,hata akiutaka uraisi ni haki yakeKama sugu na bulaya wamekuwa wabunge sioni ajabu hao wakiwa wabunge
Ubunge mdomo ndo mtaji wakoYaani kwa CCM ubunge ubunge umekuwa kitu rahisi sana,hadi wenda wazimu wanatamani!
Dada UPENDO mbona kama umepanick?Kwa akili zako ndogo wewe choko naamini still upo kwenye teenage the reason why unajiita Bruno Toto ,bahati mbaya zaidi umeharibiwa ukiwa bado mdogo.
You're a waste of sperm.
Kwa hiyo Bia yetu huyo Pierre akiwania Ubunge, wewe hutafikiria mara mbili, bali ni kumpa kura yako?Yule ni kichaa afu kaolewa na demu mwenzake
Nimemsikiliza mwana Fa alihojiwa, na juzi juzi alikuwapo nafikiri clouds ama wasafi akihojiwa yeye na joe makini, hajui kujenga hoja kabisaaaaaa....joe makini alionekana ndio mkomavu maana anajenga hoja na kujibu maswali kimpangilio.Kawazidi wote hao elimu dunia,ila ukimsikiliza kwenye siasa ni mweupw mno hakuna kitu labda kama ana kwenda kutunga nyimbo
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app