Piga Kura: Kati ya John Heche na Ezekiah Wenje nani anafaa kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa?

Piga Kura: Kati ya John Heche na Ezekiah Wenje nani anafaa kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa?

Kati ya John Heche na Ezekiah Wenje ni nani anafaa zaidi kuwa Makamu Mwenyekiti CHADEMA Taifa

  • John Heche

    Votes: 249 94.0%
  • Ezekiah Wenje

    Votes: 16 6.0%

  • Total voters
    265
  • Poll closed .
Mkuu, yaani hapo ni sawa na Mgombea Urais na Mgombea Mwenza. Hii ina maana hata Mgombea mwenza anaweza akan-boost Mgombea wa Urais, kutokana na umahiri au uelewano wao.
Hoja yangu ni hii, wanaomuunga mkono Lissu wataongezeka na wanaomuunga mkono Mbowe wataongezeka, sasa ukiweka hao akina Wenje na Heche pekee utakuwa hautendi haki
 
Heche anafaa kugombea Uenyekiti, Lissu Umakamu.
Mkuu, itakuwa poa tu; Lisu akimaliza mi 5, anamwachia Heche, hakuna litakalo haribika, bora tu democrasia kwenye Kanuni za Uchaguzi zina zingatiwa.
 
Mmoja nimesoma naye SAUT mwingine nimesoma nae CUHAS wote wanafaa kwaiyo sipigi kura,,
 
Wewe chawa wa Mbowe tulia

Kama hujaona kati ya hao wawili usipige kura ni demokrasia pia
Wewe subiri hao wengine uwapigie kura

Wengine hata wakija wengine tutampigia yule yule
Kura yako ni Batili kwa sababu kuna Wagombea wengine watatu wanakuja kutangaza kwamba wamechukua fomu, sasa hao utawaweka wapi?

Hoja yako ilipaswa kusubiri majina mengine
 
Hoja yangu ni hii, wanaomuunga mkono Lissu wataongezeka na wanaomuunga mkono Mbowe wataongezeka, sasa ukiweka hao akina Wenje na Heche pekee utakuwa hautendi haki
Huna hoja uchawa unakusumbua tu

Kama hajaona anayestahili mpaka Sasa una haki ya kutokupiga kura
Usubiri upigie hao wengine
 
Hoja yangu ni hii, wanaomuunga mkono Lissu wataongezeka na wanaomuunga mkono Mbowe wataongezeka, sasa ukiweka hao akina Wenje na Heche pekee utakuwa hautendi haki
Wakiongezeka utawekwa uzi mwingine kuwajumuisha. Kwa kuwa sasa hawapo, basi asiyekuwepo na lake halipo.
(Wewe ulikacha maandamano)
 
Back
Top Bottom