Mbangaizaji wa Taifa
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 493
- 844
SahihiHeche anafaa sio tu kuwa makamu, anafaa kuwa mwenyekiti pia.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SahihiHeche anafaa sio tu kuwa makamu, anafaa kuwa mwenyekiti pia.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Acha kufikiri kwa kutumia matakoLissu ni Mbelgiji
Wewe unafikiria kwa kutumia masaburi! Ahahahahaha!!Acha kufikiri kwa kutumia matako
Pigeni kuraWenje na FAM wapite hivi, Zamu ya TAL na Heche J
Kafanya kipi kibaya?Heche kashacheza karata zake vby, atatusamehe.
Kila uchaguzi kuna wale top wawili wanakuwa wanapewa nafasi zaidi......hata uchaguzi mkuu kuna wagombea hadi kina Hashim Rungwe SpundaKura yako ni Batili kwa sababu kuna Wagombea wengine watatu wanakuja kutangaza kwamba wamechukua fomu, sasa hao utawaweka wapi?
Hoja yako ilipaswa kusubiri majina mengine
Kutangaza ugombea mwenza ni kujifunua.Kafanya kipi kibaya?
Duuuh kweli mambo magumuAcha kufikiri kwa kutumia matako
Wewe ni mbowe mnatapanya kura za Lisu na Heche kwa kuweka mamluki wenuKura yako ni Batili kwa sababu kuna Wagombea wengine watatu wanakuja kutangaza kwamba wamechukua fomu, sasa hao utawaweka wapi?
Hoja yako ilipaswa kusubiri majina mengine
Kazi ipo aiseeWenje aendelee tu kusimamia business za Abdul
😂😂mmeambiwa pigeni kura yenu ya maoni....hayo mengine mnatoa wapi
😂😂Zingatia Viongozi hawa wanachaguliwa kwa mafungu ( in pairs)
View attachment 3193046
MTIANIA JOHN HECHE
1. John Heche atamsaidia Tundu Lissu
View attachment 3193047
MTIANIA EZEKIAH WENJE
2. Ezekiah Wenje atamsaidia Freeman Mbowe.
Wenje na FAM wapite hivi, Zamu ya TAL na Heche J
Elewa, Wanashindanishwa Heche na Wenje. Siyo Mbowe na Lissu.Hoja yangu ni hii, wanaomuunga mkono Lissu wataongezeka na wanaomuunga mkono Mbowe wataongezeka, sasa ukiweka hao akina Wenje na Heche pekee utakuwa hautendi haki
😂😂Wenje ni nani jamani. Hebu angalia hapo huo mstari wa Heche ulivyo.