Piga Kura: Kati ya John Heche na Ezekiah Wenje nani anafaa kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa?

Kati ya John Heche na Ezekiah Wenje ni nani anafaa zaidi kuwa Makamu Mwenyekiti CHADEMA Taifa

  • John Heche

    Votes: 249 94.0%
  • Ezekiah Wenje

    Votes: 16 6.0%

  • Total voters
    265
  • Poll closed .
Kura yako ni Batili kwa sababu kuna Wagombea wengine watatu wanakuja kutangaza kwamba wamechukua fomu, sasa hao utawaweka wapi?

Hoja yako ilipaswa kusubiri majina mengine
Mkuu hofu yako IPO kwa Mbowe sio kitu kingine ...hapo tayari umesoma upepo wama representatives...Heche for TAL ...dalali for FAM
 
Wekeni na option ya hapana

Both may not be the right choices
 
Acha HECHE na huyo mjinga wenje hopeless kabisa.
Namfahamu kama mtu anvyofahamu mke wake
 
Heche
 
Ni aibu kubwa kwa Wenje
 
Heche anafaa sana kwa upande wangu
 
John Heche
 
Pigeni Kura
 
Duuuh Wenje
 
Wote wanafaa
 
Sawa
 
Heche sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…