Piga Kura

Piga Kura

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
38,657
Reaction score
44,759
IMG-20240309-WA0004.jpg
 
# aliye kati - huyu kwake mahari ili yakamilike lazima pawepo geleni/ dumu la pombe, ni mlevi mbwaa.

# kushoto - ni mkulima wa zamani, anachohitaji yeye ni hela ya pembejeo.

#kulia - mshirikina, atapokea mahari lakini harusi haitofanyika.
 
Huyo wa kati unaweza kumuita pembeni ukampa maokoto kidogo tu kisha akawageuka wenzake na kukubali jambo liwe,

Huyo wa kushoto wanakuaga walokole lia lia hao,kifupi hadanganyiki huyo,

Huyo wa kulia anajali sana mambo ya mila na desturi,anaweza kugoma kwa kitu kidogo tu,hua wanajifanya wapo straight kwa kila kitu.
 
Huyo wa kati unaweza kumuita pembeni ukampa maokoto kidogo tu kisha akawageuka wenzake na kukubali jambo liwe,

Huyo wa kushoto wanakuaga walokole lia lia hao,kifupi hadanganyiki huyo,

Huyo wa kulia anajali sana mambo ya mila na desturi,anaweza kugoma kwa kitu kidogo tu,hua wanajifanya wapo straight kwa kila kitu.
🤣
 
Back
Top Bottom