Piga ua galagaza, hata bure siwezi kulala na binti wa uswahilini

Kwa hiyo bora wa wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea kipaumbele chako ni kipi
1. Kama Ni kuchakata na mizagamuano
-hao wa uswazi ndo Safi maana Kama ni ishu za usafi zinarekebishika, Cha muhimu mashine imwage wadhungu

2. Kama Ni showoffs na longterm
-hao civilized watakufaa maana hawatakupasua kichwa Sana kuwafatilia Kwny vigodoro na upuuz mwngn wa uswazi
 
Mkuu mbona umetaja majina ya Dini moja tu una maanisha Dini moja ndiyo wanaishi Uswahili?
 
Pamoja na yote hayo,mademu wa uswazi wanajua kutromb..na,yaani hao pisi kal wenu hawagusi hata robo,na maumbo wanayo,style sasa hapo ndo geneva!!tena kwa hayo majina ni gridi ya taifa!!hivi kuna papuchi haina harufu,au mimi pua yangu hainusagi au imekufa!?
 
Ushamba unakusumbua..ukiwa kama class ya chini utafuatwa na hao ndala ndefu automatically ,ukiwa ni matawi ya juu utapata wa juu .
So usiforce uwezo wako mdogo hao wa uswazi ndo saizi yako.
 
Wana mauno hao afu wanajua kuifinyia[emoji39]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…