Piga ua galagaza, hata bure siwezi kulala na binti wa uswahilini

mtoa mada unajifagilia tu ili uonekane unaringa kinyamwezi.

kiASILI, kati ya mwanaume na mwanamke, ambaye hana kinyaa cha kufanya mapenzi na mtu wa tabaka lolote tofauti na yeye ni mwanaume. mwanaume hata awe na hela vipi, anafanya mapenzi na mwanamke yeyote hata kilema au chizi. tofauti na mwanamke, mwanamke ana kinyaa cha kufanya mapenzi na tabaka lolote. mwanamke mwenye hela hawezi fanya mapenzi na chizi wala kilema, atatafuta mwenye hela mwenzie.

kwahiyo mtoa mada jifurahishe tu kwa kujisifia.

wanaume hatuna kinyaa cha kufanya mapenzi na wanawake tabaka lolote lile.
 
Ni busara ungejiongelea peke yako. Mimi ndiyo nipo hivyo sasa, we' kama ni zoa zoa hiyo ni kimpango wako.
 
Kwanza kijana wewe unakaa wapi maana huko ndio wanapoishi Mama zako na Shangazi zako
 
Limerudi kwa kasi kuwa makini
 
Hahahaha ngoja waje wavaa kobasi maana si kwa majina hayo.
 
pole kwa yaliokukuta fanya yafutayo
1.VAA KONDOM
2.OA
3.TAFUTA HELA
4.HAMA MAENEO ULIYOYATAJA
 
Pumbavu sana ww kwa kitu gani ulichokua nacho zaidi ya govi
 
Domo zege atasema nini?? kwani weye Mzungu?....kila anaye ishi uzunguni km Masaki asili yao ni uswahilini tuuu! Bakhresa leo anaishi uzunguni lkn alianzia maisha uswahilini! akiwa fundi viatu pyuu!

Nyerere alifia Msasani lkn alianzia uswahilini maisha! tena paleee Magomeni na familia yake! wewe naniiiiiiiiiiiiii!!...Uswahilini Hoyeeeee! nikija huko kituo cha kwanza Mbagalla! mashenzini!

nsito sahau uwanja wa fisi! Manzese, Mabibo farasi jamani mweee! kiti moto ya huko tamuuu sana!...kipawa kwa Mangii! Kwa azizi ally bondeni jamani! VIdem uswahilini raha sana! niseme nini mie!
 
Hongera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…